Pre GE2025 Makonda awatafutia vijana nafasi 1000 za kusoma nchini lndia. Huyu kijana ni kiongozi mbunifu sana, Rais Samia mtumie vizuri Makonda

Pre GE2025 Makonda awatafutia vijana nafasi 1000 za kusoma nchini lndia. Huyu kijana ni kiongozi mbunifu sana, Rais Samia mtumie vizuri Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.

Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.

Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.

Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.


==

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, amekutana na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Bishwadip Wey, kujadili fursa mbalimbali kwa vijana wa Arusha. Miongoni mwa mambo waliyoafikiana ni kongamano kubwa la Artificial Intelligence (AI) litakalofanyika Mei 2025, ambapo mtaalamu kutoka Marekani atatoa elimu kwa vijana wa mkoa huo.

1742025521085.png
Mazungumzo yao pia yamejumuisha ushirikiano wa Arusha na chuo cha Zanzibar kinachofadhiliwa na Serikali ya India ili kuimarisha matumizi ya AI katika kazi mbalimbali. Aidha, wamekubaliana kuanzisha kilimo cha mitishamba kwa ajili ya dawa za asili, ufadhili wa masomo kwa vijana 1,000 nchini India, na mafunzo ya upishi kwa wapishi 50 wa Kitanzania kujifunza mapishi ya Kihindi ili kuvutia watalii.

Fursa nyingine muhimu ni kuimarisha kilimo cha maembe kwa ajili ya soko la India, nchi ambayo ina mahitaji makubwa ya unga wa maembe. Hatua hizi zitawanufaisha vijana wa Arusha kwa kuwapatia maarifa, ajira, na fursa za biashara zinazotokana na ushirikiano huu wa kimataifa.
 
Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.

Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.

Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.

Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.
Chanzo ayo tv
Makonda ni mbunifu - afu alivyomuungwana hadi vijana wa CDM watanufaika balaa
 
Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.

Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.

Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.

Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.
Chanzo ayo tv
Kichwa cha habari ni tofauti na porojo za ndani. Katafutia vijana 1,000 kusomea fani gani, na nani atawalipia hayo masomo, kama tu humu nchini serekali inashindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wa chuo?
 
Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.

Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.

Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.

Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.
Chanzo ayo tv
Humjui chawa huyu
 
Hata mwanafunzi mmoja hajaenda mnakuja kumsifia mtu huku.Halafu tabia ya kuomba omba sio ubunifu.Tunakumbuka JPM alimwomba msikiti na Uwanja wa mpira kwa mfalme wa Moroco msikiti ukajengwa uwanja ikabki story.Sio kila unachoomba utapewa au kitafaa
 
Jamaa inaonekana kuna mambo ndani ya nafsi yake yanamtesa sana na huenda kuna matendo anajutia sana kuyafanya na ndiyo maana anafanya kila jitihada kujisafisha machoni pa watu na mbele ya muumba wake,aendelee na jitihada zake huenda lengo lake litatimia.
 
Jamaa inaonekana kuna mambo ndani ya nafsi yake yanamtesa sana na huenda kuna matendo anajutia sana kuyafanya na ndiyo maana anafanya kila jitihada kujisafisha machoni pa watu na mbele ya muumba wake,aendelee na jitihada zake huenda lengo lake litatimia.ba

Ushahidi mkuu. Ila Makonda ni mkuu wa mkoa bora. Ile land rover festival ilikuwa bab kubwa.
Makonda kwa kweli yupo vizuri mkuu, ni zaidi ya waziri mkuu
 
Jamaa inaonekana kuna mambo ndani ya nafsi yake yanamtesa sana na huenda kuna matendo anajutia sana kuyafanya na ndiyo maana anafanya kila jitihada kujisafisha machoni pa watu na mbele ya muumba wake,aendelee na jitihada zake huenda lengo lake litatimia.
Mbali na hilo ,jamaa, anajitahidi sana kubuni vitu vya kipekee
 
Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.

Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.

Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.

Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.
Chanzo ayo tv
Angepewa nafasi inayowadhalilisha graduates kuwa wakasome VETA wajiajiri
 
Mkuu wa mkoa bora ni Antony Mtaka that man is innovative,passionate,visionary hawa wanaokaa mjini na kuomba hela kwa matajiri na kuwapa watu pipi hakuna maanahuyo

Mkuu wa mkoa bora ni Antony Mtaka that man is innovative,passionate,visionary hawa wanaokaa mjini na kuomba hela kwa matajiri na kuwapa watu pipi hakuna maana
Huyo hawezi kumfikia makonda, sema mfumo wa ccm unambana sana
 
Kichwa cha habari ni tofauti na porojo za ndani. Katafutia vijana 1,000 kusomea fani gani, na nani atawalipia hayo masomo, kama tu humu nchini serekali inashindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wa chuo?
Who knows? Labda katumwa kuja kumfagilia. …Kulingana na title iliyotumika, Makonda ametafuta nafasi 1000 kwa ajili ya vijana. Kwa hiyo, nafasi ndiyo zinajulikana. Recruitment ya vijana wa kuchukua hizo nafasi labda ndiyo itafuata!😁
 
Angepewa nafasi inayowadhalilisha graduates kuwa wakasome VETA wajiajiri
Hata hiyo ni muhimu sana mkuu, mawaziri wamekaaa tu ofisini hawajawai kutafuta kz kwa vijana
 
Back
Top Bottom