Pre GE2025 Makonda awatafutia vijana nafasi 1000 za kusoma nchini lndia. Huyu kijana ni kiongozi mbunifu sana, Rais Samia mtumie vizuri Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwenda VETA sio kudhalilisha graduates ni kuongeza ujuzi wako watu walishaenda kwa mapenzi binafsi na wanamake now.Tuwe positive always.
Hicho kinachotolewa VETA kwanini kisifundishwe University pia
 
Who knows? Labda katumwa kuja kumfagilia. …Kulingana na title iliyotumika, Makonda ametafuta nafasi 1000 kwa ajili ya vijana. Kwa hiyo, nafasi ndiyo zinajulikana. Recruitment ya vijana wa kuchukua hizo nafasi labda ndiyo itafuata!😁
Mkuu vijana 1,000 wataishije wakiwa huko, ama watalipiwa na wazazi wao? Wanaenda kusomea nini? Angesema vijana 10 wangalau ingekuwa ni uongo unaovumilika.
 
Hicho kinachotolewa VETA kwanini kisifundishwe University pia
Unataka chuo kikuu kiwe na VETA pia? Yaani mtu anayesoma Public admiration akifunze usindikaji wa matunda chuo kikuu?
 
Kwenda VETA sio kudhalilisha graduates ni kuongeza ujuzi wako watu walishaenda kwa mapenzi binafsi na wanamake now.Tuwe positive always.
Watoto wa viongozi pia wanaenda VETA? Au wao wanapatiwa kazi serekalini na kwenye taasisi za umma?
 
Mkuu vijana 1,000 wataishije wakiwa huko, ama watalipiwa na wazazi wao? Wanaenda kusomea nini? Angesema vijana 10 wangalau ingekuwa ni uongo unaovumilika.
HAWA vijana bila shaka watapewa accommodation, na fee
 
VETA matrakos wasimuacheee.....hata India waende naeee.......period
 
Watoto wa viongozi pia wanaenda VETA? Au wao wanapatiwa kazi serekalini na kwenye taasisi za umma?
Watoto wa, viongozi TRA, Tanesco, tiss, BOT, madini, huko ndo kwao, watoto wa makapuku ni uwalimu, nesi, police, na veta
 
Reactions: Ame
HAWA vijana bila shaka watapewa accommodation, na fee
Nani atawapa vijana wengi hivyo? Unajua gharama yao itafika kiasi gani? Mkuu mbona unadanganyiak kirahisi hivyo?
 
Mtaka kazi zake zinajisemea zenyewe wengine kazi kulipa media ziwatangaze
Lakini hawezi kumfikia makonda, jamaa amefanya kaz makini makubwa yote ameyamudu, huyo ni tunu ya Taifa
 
Unataka chuo kikuu kiwe na VETA pia? Yaani mtu anayesoma Public admiration akifunze usindikaji wa matunda chuo kikuu?
Kama haifai kwanini aambiwe kwenda VETA baada ya kuhitimu
 
Hao vijana kumbuka watabidi waajiriwe Bongo kuna mazingira mazuri wakirudi ikiwa hawana wakuwashika mkono muda huo
 
N

Nchi ya india, bila shaka lakini pia stakeholders
Vijana wengi hivyo na ni masomo ya aina na muda gani? Nilidhani unajua ukweli wa jambo husika, kumbe ni mambo ya bila shaka! Kwanini usijue ukweli ndio ulete habari kamili, ama umeamua kushiriki kusambaza taarifa za utapeli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…