Pre GE2025 Makonda awatafutia vijana nafasi 1000 za kusoma nchini lndia. Huyu kijana ni kiongozi mbunifu sana, Rais Samia mtumie vizuri Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama na yeye alishiriki katika kudhalilisha Wazee hiyo itamgharimu katika maisha yake yote !
😳 ! KARMA ! 😳
 
Mkuu vijana 1,000 wataishije wakiwa huko, ama watalipiwa na wazazi wao? Wanaenda kusomea nini? Angesema vijana 10 wangalau ingekuwa ni uongo unaovumilika.
Yeye katafuta nafasi 1000. Hayo mengine shauri yao watakaotaka kuzijaza!😅
 
Yeye katafuta nafasi 1000. Hayo mengine shauri yao watakaotaka kuzijaza!😅
Hizo nafasi ziko mitandaoni muda wote, tatizo ni ada na gharama maisha huko. Hivyo nakushauri ogopa matapeli.
 
Makonda pamoja na mapungufu yake huhakikisha anaitendea haki nafasi yake, hatulii, anagusa kile eneo.
 
Mkuu wa mkoa bora ni Antony Mtaka that man is innovative,passionate,visionary hawa wanaokaa mjini na kuomba hela kwa matajiri na kuwapa watu pipi hakuna maana
Naunga mkono hoja, Mtaka ni mtu smart sana bahati mbaya hata mikoa anayopewa ni ya pembezoni..lkn alifaa kupewa mkoa kama dar.
 
Hilo liAyo haliwezi kuwa chanzo cha uhakika cha masuala ya Serikali. Wacha utapeli, lete taarifa kutoka Wizara ya Elimu.
 
Kichwa cha habari ni tofauti na porojo za ndani. Katafutia vijana 1,000 kusomea fani gani, na nani atawalipia hayo masomo, kama tu humu nchini serekali inashindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wa chuo?
serikali haijashindwa kusomesha wanafunzi ina uwezo wa kuwalipia wanafunzi wote nchini..sema tu serikali haitaki lakini pesa ipo sana nchi hii..kwani zaidi ya 60% pesa zinaishia kwa wanasiasa na viongozi kwa kulipana imagine mbunge mmoja anavuta hadi milion 20 kwa mwezi tu wakati ada chuo kikuu fani nyingi ada haizidi milion 3 kwa mwaka sasa kwa milion 20 ya kiongozi mmoja kwa mwezi inasomesha wanafunzi 7 chuo kikuu bila stress kwa mwaka..tukipunguza mishahara na marupurupu ya wanasiasa na viongozi wote nchini japo kwa 40% tutafika mbali sana kama nchi na hakutokuwa na uoga wa kuajiri yaani graduate akitoka chuo moja kwa moja kazini kama enzi za JK ajira kibao ila watu wa kuajiriwa hamna.!
 
Bashite umekuwa na IDs kibao humu janvini, njoo kinamna nyingine hii imeshazoeleka.
 
Mkuu wa mkoa bora ni Antony Mtaka that man is innovative,passionate,visionary hawa wanaokaa mjini na kuomba hela kwa matajiri na kuwapa watu pipi hakuna maana
Hana ubora wowote. Yule huwa hataki kukosolewa na kujiona bora kuliko hata viongozi wake. Alimjibu utumbo Prof Ndalichako kwa jambo ambalo Prof alikuwa sahihi kabisa.
 
Mijitu mingine mibishi🤔, juzi si kakutana na balozi wa India nchini Tanzania? Mnabisha nini sasa huenda hiyo nayo ilikuwa ni agenda! Kwani linaugumu gani??? Au mnaona wivu?? Endeleeni kukomaza mafuvu yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…