ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Kama na yeye alishiriki katika kudhalilisha Wazee hiyo itamgharimu katika maisha yake yote !Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.
Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.
Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.
Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.
Chanzo ayo tv
Yeye katafuta nafasi 1000. Hayo mengine shauri yao watakaotaka kuzijaza!😅Mkuu vijana 1,000 wataishije wakiwa huko, ama watalipiwa na wazazi wao? Wanaenda kusomea nini? Angesema vijana 10 wangalau ingekuwa ni uongo unaovumilika.
Makonda hana uzuri wowote anajiosha tu ili kufunika mabaya yake alipokuwa akitekeleza maagizo ya yule shetani.Makonda kwa kweli yupo vizuri mkuu, ni zaidi ya waziri mkuu
Hizo nafasi ziko mitandaoni muda wote, tatizo ni ada na gharama maisha huko. Hivyo nakushauri ogopa matapeli.Yeye katafuta nafasi 1000. Hayo mengine shauri yao watakaotaka kuzijaza!😅
Mimi sitafuti shule. Natafisri tu kilichoandikwa!Hizo nafasi ziko mitandaoni muda wote, tatizo ni ada na gharama maisha huko. Hivyo nakushauri ogopa matapeli.
Unatafsiri bila kujiuliza ukweli wa jambo linalosemwa?Mimi sitafuti shule. Natafisri tu kilichoandikwa!
Si kweli ni msaniiYupo vzr sana kutafuta fursa tofauti na viongozi mizigo
Naunga mkono hoja, Mtaka ni mtu smart sana bahati mbaya hata mikoa anayopewa ni ya pembezoni..lkn alifaa kupewa mkoa kama dar.Mkuu wa mkoa bora ni Antony Mtaka that man is innovative,passionate,visionary hawa wanaokaa mjini na kuomba hela kwa matajiri na kuwapa watu pipi hakuna maana
Sihitaji kufika kote huko kwasababu kichwa na kiwiliwili cha post yenyewe havina ushirikiano!Unatafsiri bila kujiuliza ukweli wa jambo linalosemwa?
Muungwana gani anampiga kofi mzee wa miaka 80Makonda ni mbunifu - afu alivyomuungwana hadi vijana wa CDM watanufaika balaa
Hilo liAyo haliwezi kuwa chanzo cha uhakika cha masuala ya Serikali. Wacha utapeli, lete taarifa kutoka Wizara ya Elimu.Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.
Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.
Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.
Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.
Chanzo ayo tv
serikali haijashindwa kusomesha wanafunzi ina uwezo wa kuwalipia wanafunzi wote nchini..sema tu serikali haitaki lakini pesa ipo sana nchi hii..kwani zaidi ya 60% pesa zinaishia kwa wanasiasa na viongozi kwa kulipana imagine mbunge mmoja anavuta hadi milion 20 kwa mwezi tu wakati ada chuo kikuu fani nyingi ada haizidi milion 3 kwa mwaka sasa kwa milion 20 ya kiongozi mmoja kwa mwezi inasomesha wanafunzi 7 chuo kikuu bila stress kwa mwaka..tukipunguza mishahara na marupurupu ya wanasiasa na viongozi wote nchini japo kwa 40% tutafika mbali sana kama nchi na hakutokuwa na uoga wa kuajiri yaani graduate akitoka chuo moja kwa moja kazini kama enzi za JK ajira kibao ila watu wa kuajiriwa hamna.!Kichwa cha habari ni tofauti na porojo za ndani. Katafutia vijana 1,000 kusomea fani gani, na nani atawalipia hayo masomo, kama tu humu nchini serekali inashindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wa chuo?
Bashite umekuwa na IDs kibao humu janvini, njoo kinamna nyingine hii imeshazoeleka.Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.
Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.
Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.
Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.
Chanzo ayo tv
Hana ubora wowote. Yule huwa hataki kukosolewa na kujiona bora kuliko hata viongozi wake. Alimjibu utumbo Prof Ndalichako kwa jambo ambalo Prof alikuwa sahihi kabisa.Mkuu wa mkoa bora ni Antony Mtaka that man is innovative,passionate,visionary hawa wanaokaa mjini na kuomba hela kwa matajiri na kuwapa watu pipi hakuna maana
Mijitu mingine mibishi🤔, juzi si kakutana na balozi wa India nchini Tanzania? Mnabisha nini sasa huenda hiyo nayo ilikuwa ni agenda! Kwani linaugumu gani??? Au mnaona wivu?? Endeleeni kukomaza mafuvu yenu.Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.
Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.
Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.
Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.
Chanzo ayo tv