Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

Jamaa kajidhalilisha sana ....
Dar fish market ashazimaga mziki kosa alikuwa na kunako chake

Ova
 
Usijitoe ufahamu,kama humjui basi ni suala la muda utamjua tuu
 
Kwahiyo umemuona Mange tuu ndio ana roho ya chuki ila hao wengine hujawaona sio,msiambiwe ukweli nyie ni nan?...,
 
Labda anataka uwe kama wao,kiuhalisia lemutuz alitakiwa awe na kijana rika la bashite lkn ndio hivyo amebaki kumfuata jamaa hapo nyuma tu na kuwa msemaji wake
 
nasikia eti alialikwa kwenye harusi akalazimisha kukaa kwenye kiti cha bibiharusi ahaaaa eti ni mkuu wa nini sijui
Aiseee labda tumuulize cocochanel ndio anaweza akawa na jibu la hili swali lako,yy na lemutuz wamekuwa wasemaji wa mkuu sijui wa nin...
 
wapenda hbr z udaku kuliko kaz',,,,
wapoooo'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…