Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Sijaelewa mkuu ila nahisi ni ubuyu motoooZari ni balizi wa Danube kwa mtongozo wa Bashite.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa mkuu ila nahisi ni ubuyu motoooZari ni balizi wa Danube kwa mtongozo wa Bashite.
Kama kawaida yako Huwezi kukukosekana kwenye nyuzi kama hizi kumtetea DAB wako
Haha hii ilikua ni show ya Omarion hahahahhahhahhahahahhahhahahHawa jamaa wakishachuja ndio wanaikumbuka afika. Sio bure huko Namibia O aliambulia patupu
View attachment 620516
Haha hii ilikua ni show ya Omarion hahahahhahhahhahahahhahhahah
Da ila uzuri si wanakua wamalipwa upfront? Ivo apo hasara kwa mapromota si ndio?Yup, ilikua friday hiyo. Jamaa akaambulia patupu
Kama kawaida yako Huwezi kukukosekana kwenye nyuzi kama hizi kumtetea DAB wako
Da ila uzuri si wanakua wamalipwa upfront? Ivo apo hasara kwa mapromota si ndio?
SawaHivi mange neno lake ndio sheria, kila kitu mange kasema, hata kama hamumpendi makonda acheni uzushi, hiyo habari si kweli hivi nyinyi mnategemea mange kuandika kizuri cha makonda. Ila huyu dada ataumwa magonjwa ambayo hayatibiki kwani moyo wake ameujaza chuki, najua kuna watu watanibishia ila kwa faida yako kiroho, jaribu kwenda hija Pugu (kwa wakatoliki ,alafu utakutana na padri atakupa semina ) ndio utajua nini nguvu ya upendo na msamaha, na utajua madhara ya chuki, chuki inaweza ikakusababishia hata magonjwa yasiyotibika na kama hukupata msaada wa kiroho unaweza ukafa au hata kuwa kama chizi na muogope sana mtu anayeongozwa na chuki, kwani kinywa chake ni chanzo cha mifarakano ktk jamii yoyote na maneno yake ni sumu, mm huyu binti simuelewi anataka nini, yupo kama sigara Kali.
Watu watafte pesa zao uwapangie mda wa kuzitumia?Sheria za kizamani acha watu wale bata zao
TiririkaNi kweli,
Nami nilikuwepo
Hata ccm watapata magonjwa yasiyotibika kwa kuwaonea wanyongeHivi mange neno lake ndio sheria, kila kitu mange kasema, hata kama hamumpendi makonda acheni uzushi, hiyo habari si kweli hivi nyinyi mnategemea mange kuandika kizuri cha makonda. Ila huyu dada ataumwa magonjwa ambayo hayatibiki kwani moyo wake ameujaza chuki, najua kuna watu watanibishia ila kwa faida yako kiroho, jaribu kwenda hija Pugu (kwa wakatoliki ,alafu utakutana na padri atakupa semina ) ndio utajua nini nguvu ya upendo na msamaha, na utajua madhara ya chuki, chuki inaweza ikakusababishia hata magonjwa yasiyotibika na kama hukupata msaada wa kiroho unaweza ukafa au hata kuwa kama chizi na muogope sana mtu anayeongozwa na chuki, kwani kinywa chake ni chanzo cha mifarakano ktk jamii yoyote na maneno yake ni sumu, mm huyu binti simuelewi anataka nini, yupo kama sigara Kali.
ahhaaaaa hebu anzisha thread yake mkuuHawa jamaa wakishachuja ndio wanaikumbuka afika. Sio bure huko Namibia O aliambulia patupu
View attachment 620516
ahhaaaaa hebu anzisha thread yake mkuu
mu"u"ngu wa darNdio raisi wa DSM