Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

Hawa jamaa wakishachuja ndio wanaikumbuka afika. Sio bure huko Namibia O aliambulia patupu
198912_ec7dfbb214509533526cf49e7ea7b524.jpg
 
Kama kawaida yako Huwezi kukukosekana kwenye nyuzi kama hizi kumtetea DAB wako

Eeeeeeh
uliyemtaja simjui
ILA
Sheria ni sheria
Walioandaaa lazima iwe Jumapili ni kosa lao huku ni eneo la makazi ya watu na wanapiga muziki wao

Wasingezima mngesema kwasababu msanii huyo na wageni wake wa WCB wapo karibu na RC ndio maana wameruhusiwa kuvunja sheria...
 
Hivi mange neno lake ndio sheria, kila kitu mange kasema, hata kama hamumpendi makonda acheni uzushi, hiyo habari si kweli hivi nyinyi mnategemea mange kuandika kizuri cha makonda. Ila huyu dada ataumwa magonjwa ambayo hayatibiki kwani moyo wake ameujaza chuki, najua kuna watu watanibishia ila kwa faida yako kiroho, jaribu kwenda hija Pugu (kwa wakatoliki ,alafu utakutana na padri atakupa semina ) ndio utajua nini nguvu ya upendo na msamaha, na utajua madhara ya chuki, chuki inaweza ikakusababishia hata magonjwa yasiyotibika na kama hukupata msaada wa kiroho unaweza ukafa au hata kuwa kama chizi na muogope sana mtu anayeongozwa na chuki, kwani kinywa chake ni chanzo cha mifarakano ktk jamii yoyote na maneno yake ni sumu, mm huyu binti simuelewi anataka nini, yupo kama sigara Kali.
 
Hivi mange neno lake ndio sheria, kila kitu mange kasema, hata kama hamumpendi makonda acheni uzushi, hiyo habari si kweli hivi nyinyi mnategemea mange kuandika kizuri cha makonda. Ila huyu dada ataumwa magonjwa ambayo hayatibiki kwani moyo wake ameujaza chuki, najua kuna watu watanibishia ila kwa faida yako kiroho, jaribu kwenda hija Pugu (kwa wakatoliki ,alafu utakutana na padri atakupa semina ) ndio utajua nini nguvu ya upendo na msamaha, na utajua madhara ya chuki, chuki inaweza ikakusababishia hata magonjwa yasiyotibika na kama hukupata msaada wa kiroho unaweza ukafa au hata kuwa kama chizi na muogope sana mtu anayeongozwa na chuki, kwani kinywa chake ni chanzo cha mifarakano ktk jamii yoyote na maneno yake ni sumu, mm huyu binti simuelewi anataka nini, yupo kama sigara Kali.
Sawa
 
Hivi mange neno lake ndio sheria, kila kitu mange kasema, hata kama hamumpendi makonda acheni uzushi, hiyo habari si kweli hivi nyinyi mnategemea mange kuandika kizuri cha makonda. Ila huyu dada ataumwa magonjwa ambayo hayatibiki kwani moyo wake ameujaza chuki, najua kuna watu watanibishia ila kwa faida yako kiroho, jaribu kwenda hija Pugu (kwa wakatoliki ,alafu utakutana na padri atakupa semina ) ndio utajua nini nguvu ya upendo na msamaha, na utajua madhara ya chuki, chuki inaweza ikakusababishia hata magonjwa yasiyotibika na kama hukupata msaada wa kiroho unaweza ukafa au hata kuwa kama chizi na muogope sana mtu anayeongozwa na chuki, kwani kinywa chake ni chanzo cha mifarakano ktk jamii yoyote na maneno yake ni sumu, mm huyu binti simuelewi anataka nini, yupo kama sigara Kali.
Hata ccm watapata magonjwa yasiyotibika kwa kuwaonea wanyonge
 
Back
Top Bottom