Uchaguzi 2020 Makonda azuiwa kukaa Jukwaa Kuu kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM

We acha tu jamaa namkubali sana maana kijana alionyesha anaweza uone sasa ana familia anajaribu kuhangaika kama baba apate nafasi maisha yaende hajali kudharauliwa kabisa😥😥😥
Akalime matikiti asomeshe mtoto
 
Kujifunza wapi Biblia Takatifu imeandikwa ajikwezae atashushwa ,asiyesikia na kukaza shingo yake itavunjiiiikaaaa
 


 
Sasa angekaa jukwaa kuu kama nani? Kama alikuwa na matarajio hayo ana tatizo la kufikiri. Na kama walinzi/watu wa itifaki wangemruhusu nao wangekuwa na matatizo.
Hahahaaa alijisahau akadhani naye ni waziri mkuu mstaafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…