Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Nafuatilia hawa wasemaji wa vyama kila mmoja ktk chama chake.
# Paul Makonda (CCM);
# John Mrema (CHADEMA); na
# Salim Bimani wa ACT Wazalendo.
Hivi kweli vingunge hawa hata mtoto asiyejua au kufuatilia mambo ya siasa unaona wanalingana uwezo?
Binafsi namwona Paul Makonda akiwaacha mbali sana kwa uwezo, ubunifu, na jitihada binafsi.
CCM kimkakati imeshashinda chaguzi zote hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufika.
Ngaika Ndenda!
# Paul Makonda (CCM);
# John Mrema (CHADEMA); na
# Salim Bimani wa ACT Wazalendo.
Hivi kweli vingunge hawa hata mtoto asiyejua au kufuatilia mambo ya siasa unaona wanalingana uwezo?
Binafsi namwona Paul Makonda akiwaacha mbali sana kwa uwezo, ubunifu, na jitihada binafsi.
CCM kimkakati imeshashinda chaguzi zote hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufika.
Ngaika Ndenda!