Makonda (CCM), John Mrema (CHADEMA), na Shaibu (ACT) - wanalingana uwezo?

Makonda (CCM), John Mrema (CHADEMA), na Shaibu (ACT) - wanalingana uwezo?

Nafuatilia hawa wasemaji wa vyama kila mmoja ktk chama chake.
# Paul Makonda (CCM);
# John Mrema (CHADEMA); na
# Shaibu wa ACT Wazalendo.

Hivi kweli vingunge hawa hata mtoto asiyejua au kufuatilia mambo ya siasa unaona wanalingana uwezo?
Binafsi namwona Paul Makonda akiwaacha mbali sana kwa uwezo, ubunifu, na jitihada binafsi.

CCM kimkakati imeshashinda chaguzi zote hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufika.

Ngaika Ndenda!
Watalinganaje wengine hata ofisi hawana?
 
Nafuatilia hawa wasemaji wa vyama kila mmoja ktk chama chake.
# Paul Makonda (CCM);
# John Mrema (CHADEMA); na
# Shaibu wa ACT Wazalendo.

Hivi kweli vingunge hawa hata mtoto asiyejua au kufuatilia mambo ya siasa unaona wanalingana uwezo?
Binafsi namwona Paul Makonda akiwaacha mbali sana kwa uwezo, ubunifu, na jitihada binafsi.

CCM kimkakati imeshashinda chaguzi zote hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufika.

Ngaika Ndenda!
Ndug.Ado Shaibu ni katibu Mkuu sio Muenezi, Muenezi ni Ndug.Salim Bimani na Naibu wake ni Bi.Janeth Rithe Simba Jike
 
Ndug.Ado Shaibu ni katibu Mkuu sio Muenezi, Muenezi ni Ndug.Salim Bimani na Naibu wake ni Bi.Janeth Rithe Simba Jike
OK!
Bado hoja iko pale pale - kwenye jina Shaibu weka Bimani. Makonda Paul bado anakuwa juu kwa weight
 
CCM kushinda kwa kura hilo imeshashindwa, kupora uchaguzi ndio walichobakiza. Kwa Sasa Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
Na wananchi wameshakubaliana na hiyo hali?
 
Re

Real!?
Naanza kumfuatilia Bimani lkn.,...

..Bimani is more talented ktk kulitawala jukwaa kuliko Bashite.

..Bashite hawezi kuzungumza dakika 10 bila kutoa kauli yenye ukakasi inayohitaji kuombewa radhi.
 
Back
Top Bottom