Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Kimkakati CCM hahitaji kuiba kura ndiyo ashinde uchaguzi. Wapinzani hufeli parefu (kuwa na utitiri wa vyama na kila chama kupambana kivyake ni ushindi tosha kwa CCM).CCM kushinda kwa kura hilo imeshashindwa, kupora uchaguzi ndio walichobakiza. Kwa Sasa Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
ccm ni majizi ya kura jiuluze kwanini tume yote ya uchaguzi anateua mwenyekiti wao? kwanini maccm hayataki katiba mpya?Nafuatilia hawa wasemaji wa vyama kila mmoja ktk chama chake.
# Paul Makonda (CCM);
# John Mrema (CHADEMA); na
# Shaibu wa ACT Wazalendo.
Hivi kweli vingunge hawa hata mtoto asiyejua au kufuatilia mambo ya siasa unaona wanalingana uwezo?
Binafsi namwona Paul Makonda akiwaacha mbali sana kwa uwezo, ubunifu, na jitihada binafsi.
CCM kimkakati imeshashinda chaguzi zote hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufika.
Ngaika Ndenda!
Sasa kama tatizo ni Mlango mbovu ndio unasababisha uibiwe mara kwa mara kwanini wewe uko busy kuimarisha plumbing system nyumbani kwako kudhibiti wizi?CCM kushinda kwa kura hilo imeshashindwa, kupora uchaguzi ndio walichobakiza. Kwa Sasa Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
Hata kama vyama vingekuwa mia, acha hivyo 18 Bado ccm haina uwezo tena wa kushinda kwa zaidi ya 50%, na haitakaa iweze. Hiyo ni kutokana na mabadiliko ya kizazi, na ndio maana kunajisi uchaguzi imekuwa nguvu pekee ya ccm kubaki madarakani kwa shuruti.Kimkakati CCM hahitaji kuiba kura ndiyo ashinde uchaguzi. Wapinzani hufeli parefu (kuwa na utitiri wa vyama na kila chama kupambana kivyake ni ushindi tosha kwa CCM).
Ingekuwa ccm wanaiba kama Chams wasingeweza, Bali wizi huo unafanyika kwa support ya vyombo vya dola na kimamlaka kama tume ya uchaguzi na mahakama.Sasa kama tatizo ni Mlango mbovu ndio unasababisha uibiwe mara kwa mara kwanini wewe uko busy kuimarisha plumbing system nyumbani kwako kudhibiti wizi?
Hujitambui ww..unajibu maswali huku umeng'ata menoKimkakati CCM hahitaji kuiba kura ndiyo ashinde uchaguzi. Wapinzani hufeli parefu (kuwa na utitiri wa vyama na kila chama kupambana kivyake ni ushindi tosha kwa CCM).
John Mrema ni binamu yake Mwenyekiti wa Chama, alibebwa na Mzee MboweNafuatilia hawa wasemaji wa vyama kila mmoja ktk chama chake.
# Paul Makonda (CCM);
# John Mrema (CHADEMA); na
# Shaibu wa ACT Wazalendo.
Hivi kweli vingunge hawa hata mtoto asiyejua au kufuatilia mambo ya siasa unaona wanalingana uwezo?
Binafsi namwona Paul Makonda akiwaacha mbali sana kwa uwezo, ubunifu, na jitihada binafsi.
CCM kimkakati imeshashinda chaguzi zote hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufika.
Ngaika Ndenda!
Ngaika NdendaNafuatilia hawa wasemaji wa vyama kila mmoja ktk chama chake.
# Paul Makonda (CCM);
# John Mrema (CHADEMA); na
# Shaibu wa ACT Wazalendo.
Hivi kweli vingunge hawa hata mtoto asiyejua au kufuatilia mambo ya siasa unaona wanalingana uwezo?
Binafsi namwona Paul Makonda akiwaacha mbali sana kwa uwezo, ubunifu, na jitihada binafsi.
CCM kimkakati imeshashinda chaguzi zote hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufika.
Ngaika Ndenda!
Sijui una umri gani lakini ufahamu wako una utindio kiasi flaniKimkakati CCM hahitaji kuiba kura ndiyo ashinde uchaguzi. Wapinzani hufeli parefu (kuwa na utitiri wa vyama na kila chama kupambana kivyake ni ushindi tosha kwa CCM).
Kabendera Msakila upo au bado unaendelea kupeperushwa na makalio ya Makonda?BASHITE alichowazidi hao wengine ni ana MAKALIO makubwa,nje ya hapo ni mweupe sana ndio maana anatumia Vyeti vya mtu mwingine