Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Watalinganaje wengine hata ofisi hawana?Nafuatilia hawa wasemaji wa vyama kila mmoja ktk chama chake.
# Paul Makonda (CCM);
# John Mrema (CHADEMA); na
# Shaibu wa ACT Wazalendo.
Hivi kweli vingunge hawa hata mtoto asiyejua au kufuatilia mambo ya siasa unaona wanalingana uwezo?
Binafsi namwona Paul Makonda akiwaacha mbali sana kwa uwezo, ubunifu, na jitihada binafsi.
CCM kimkakati imeshashinda chaguzi zote hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufika.
Ngaika Ndenda!
Ndug.Ado Shaibu ni katibu Mkuu sio Muenezi, Muenezi ni Ndug.Salim Bimani na Naibu wake ni Bi.Janeth Rithe Simba JikeNafuatilia hawa wasemaji wa vyama kila mmoja ktk chama chake.
# Paul Makonda (CCM);
# John Mrema (CHADEMA); na
# Shaibu wa ACT Wazalendo.
Hivi kweli vingunge hawa hata mtoto asiyejua au kufuatilia mambo ya siasa unaona wanalingana uwezo?
Binafsi namwona Paul Makonda akiwaacha mbali sana kwa uwezo, ubunifu, na jitihada binafsi.
CCM kimkakati imeshashinda chaguzi zote hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufika.
Ngaika Ndenda!
Ndug.Ado Shaibu ni katibu Mkuu sio Muenezi, Muenezi ni Ndug.Salim Bimani na Naibu wake ni Bi.Janeth Rithe Simba Jike
OK!Ndug.Ado Shaibu ni katibu Mkuu sio Muenezi, Muenezi ni Ndug.Salim Bimani na Naibu wake ni Bi.Janeth Rithe Simba Jike
Real!?..Makonda hamuwezi Salim Bimani.
..kama wanabisha waandae mdahalo.
Ofisi ni uwezo wa chama lkn issue ya capacity ya MTU mwenyewe ktk kupika jambo, propaganda nk ndicho mzizi wa uzi huuWatalinganaje wengine hata ofisi hawana?
Na wananchi wameshakubaliana na hiyo hali?CCM kushinda kwa kura hilo imeshashindwa, kupora uchaguzi ndio walichobakiza. Kwa Sasa Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
Ustaraabu hauuzwi - tuzungumze kukejeli, kukashifu wala kutukana MTU..Bashite kawazidi wenzake makalio.
Ustaraabu hauuzwi - tuzungumze kukejeli, kukashifu wala kutukana MTU
Re
Real!?
Naanza kumfuatilia Bimani lkn.,...