Makonda fuatilia dhuluma mradi wa fidia Jangwani watu wanalipwa 170,000 badala ya milioni 4 aliyosema Waziri

🙄🙄🙄
 
Bashite afuatikie kama nani nchi hii.
 
Asee kama ni kweli basi bora wakatae waendelee kubakia hapo jangwani walime hata mchicha, haya ni matusi kabisa.
Hapo Jangwani hao wameshalipwa zaidi ya mala nne na viwanja mabwepande wamepewa lakini hawataki kuhama wameshafanya kitega uchumi hapo dawa ni kuhamishwa kwa nguvu tu
 
Hata kama ni mpangaji hiyo pesa ni kiduchu sana.
Ni pesa ya night moja na pisi kwenye lodge za kawaida sana.
Wawe na huruma na watz wenzao sio wao tu wanajua kutumbua pesa za umma.
 
Mkuu ilo eneo watu wamelipwa zaidi ya mala mbili kipindi cha Kikwete walipewa mpaka na viwanja mabwepande inachofanya Serikali ni huruma tu kwa raia wake lakina hao hawakustahili kulipwa hata Senti tano
 
Mpangaji kulipwa elfu 170 ni nyingi mnoo!
Mleta uzi una nia ovu.
 
Wasamehe Mkuu. Ni athari za kukaa sana kwenye maji!
 
Wlaishaambiwa bhana. Hao vichwa ngumu tu
 
Nijenge nyumba, nikupangishe, halafu fidia ya kubomolewa uchukue wewe mpangaji?

Ningeenda na panga huko huko kwenye mafuriko!
 
Makonda waziri wa nini we zumbukuku?
 
Mwizi wa fedha za TASAF atakusaidia nini wewe Mwananchi?
 
POLE SEREKALI YETU PENDWA, NI HURUMA KUBWA MNO, UKIZINGATIA WATU HAO WALISHAONYWA MUDA MREFU MNO KUONDOKA HUMO MABONDENI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…