Makonda kawa kituko ziara Kanda ya Kaskazini

Makonda kawa kituko ziara Kanda ya Kaskazini

Ukifiatilia hotuba zote alizotoa Kilimanjaro na Arusha hakuwa na ajenda ya kueleweka zaidi ya kuzungumzia maandamano ya Chadema na kujikomba kwa Mbowe.

Mara akasema siasa inalipa, mara nitalala kwa Mbowe, mara Samia karuhusu maandamano ya Chadema. Hivi Nchimbi hakumwandalia hoja za kupeleka kwa wananchi wa mikoa hiyo?

Mbaya zaidi ameiacha uchi CCM kuwa ni chama cha hovyo na kinatumia nguvu za polisi na vyombo vya dola kutawala kimabavu!
Kati ya vitu ambavyo huwa nashindwa kuielewa Ccm ni haya maigizo inayo fanya mbele ya jamii ya Watanzania
Hivi ina kuwaje Ccm imekaa miaka 63 madarakani bado shule hazina vyoo, hatuna maji, hatuna madawa hatuna umeme hatuna kila kitu. Ati wana pita kuulizia kero. It does not sound Kabisa..
 
Ukifiatilia hotuba zote alizotoa Kilimanjaro na Arusha hakuwa na ajenda ya kueleweka zaidi ya kuzungumzia maandamano ya Chadema na kujikomba kwa Mbowe.

Mara akasema siasa inalipa, mara nitalala kwa Mbowe, mara Samia karuhusu maandamano ya Chadema. Hivi Nchimbi hakumwandalia hoja za kupeleka kwa wananchi wa mikoa hiyo?

Mbaya zaidi ameiacha uchi CCM kuwa ni chama cha hovyo na kinatumia nguvu za polisi na vyombo vya dola kutawala kimabavu!
Nani huwa anamsikiliza boga huyo? Mimi alipita karibu na kijijini kwangu nikawa nawakemea mabwege waliotumiwa basi waende kumsikiliza ama kweli nchi ina ma-zuzu.
 
Na bado kuna siku ataanza kuropoka kama chizi!
Nafikiri kichwani hayupo sawa. Hana lolote la maana:

Yaani mtu anaandaa safari kwenda kuwaambia watu kuwa Samia ameletewa form toka mbinguni ya kugombea urais!! Mara oh Mbowe ni ndugu yangu! Yaani Mbowe wa Kilimanjaro awe na ndugu Koromije!! Mara oh, nilipokuwa nje ya uongozi Kadinali Pengo alikuwa anakuja kunisalimia!! Anahangaila kukubalika huku nafsi yake ikikosa amani kwa mauaji aliyoshiriki.

Kwa uovu na uhayawani alioshiriki kuufanya, atahangaika sana kutafuta kujisafisha, lakini hatafanikiwa. Yeye asubirie siku atakapopandishwa kizimbani. Hata kama si leo, au si kesho wala keshokutwa, lakini lazima hiyo siku itafika.
 
Wewe ndiye umekuwa kituko na kuonyesha ulivyo mjinga na kipofu wa akili na macho.kwa sababu mikutano ya Mheshimiwa Makonda mwamba wa siasa na Jabali la siasa na kijana jasiri kutoka ukanda wa kusini mwa jangwa la sahara inafanyika hadharani na siyo gizani.kila mtu na macho yote ya watanzania yanafuatilia kwa ukaribu sana na kujionea namna kazi kubwa anayoifanya ya kupokea kero na kutoa suluhisho kwa kushirikiana na watendaji wa sera
Ndugu wewe ni zaidi ya Chawa nakuapia, kwa namna unavyoandika wewe sasa ni kunguni!
fanya kazi uinue kipato chako, acha ukunguni!
 
Wewe ndiye umekuwa kituko na kuonyesha ulivyo mjinga na kipofu wa akili na macho.kwa sababu mikutano ya Mheshimiwa Makonda mwamba wa siasa na Jabali la siasa na kijana jasiri kutoka ukanda wa kusini mwa jangwa la sahara inafanyika hadharani na siyo gizani.kila mtu na macho yote ya watanzania yanafuatilia kwa ukaribu sana na kujionea namna kazi kubwa anayoifanya ya kupokea kero na kutoa suluhisho kwa kushirikiana na watendaji wa sera
Ndugu wewe ni zaidi ya Chawa nakuapia, kwa namna unavyoandika wewe sasa ni kunguni!
fanya kazi uinue kipato chako, acha ukunguni!
 
Damu za watu zinamtafuna huyo, Kawa kama chizi anachozungumza hakieleweki kabisa. Watu wana matatizo chungu mzima halafu yeye anatuletea maigizo
Eti bhana! Aeleze wananchi kwanini gharama za maisha zimekuwa juu na serikali ya chama chake imekuwa kimya.
 
Kati ya vitu ambavyo huwa nashindwa kuielewa Ccm ni haya maigizo inayo fanya mbele ya jamii ya Watanzania
Hivi ina kuwaje Ccm imekaa miaka 63 madarakani bado shule hazina vyoo, hatuna maji, hatuna madawa hatuna umeme hatuna kila kitu. Ati wana pita kuulizia kero. It does not sound Kabisa..
Nadhani tatizo kubwa ni aina ya elimu tunayoipata, kwamba tunapuuza mateso ya wenzetu ambayo hayatugusi moja kwa moja. Tunakuwa kama kuku ambao wanaona mwenzao anachinjwa lakini hawastuki na watakwenda kula damu ya mwenzao!

Kwa hiyo sisi Watanzania tunaona umaskini na madhila wanayopata wenzetu hayatugusi. Rasilimali zinazoporwa nchini tunaona sawa tu na hazituhusu!
 
Huyo jamaa hata hana hadhi ya kujadiliwa...
Watu wanajazana kwaajilli ya mabango
Mabango yalio jaa kero
Hicho ndicho kinajaza watu
Wakitegemea watatatuliwa shida zao
Wakati hakuna lolote
 
Wewe ndiye umekuwa kituko na kuonyesha ulivyo mjinga na kipofu wa akili na macho.kwa sababu mikutano ya Mheshimiwa Makonda mwamba wa siasa na Jabali la siasa na kijana jasiri kutoka ukanda wa kusini mwa jangwa la sahara inafanyika hadharani na siyo gizani.kila mtu na macho yote ya watanzania yanafuatilia kwa ukaribu sana na kujionea namna kazi kubwa anayoifanya ya kupokea kero na kutoa suluhisho kwa kushirikiana na watendaji wa serikali.

Kila mmoja anaona hoja nzito na za kutetemesha zinavyotolewa na Mheshimiwa Makonda,kila.mmoja anaona namna hotuba zake zinavyogusa mioyo ya watanzania kila kona ya nchi na nje ya nchi.kila mtu anaona namna wananchi wanavyofurika na kumiminika katika mikutano yake.

Kwa ufupi amefanikiwa kuteka mioyo ya watanzania na kukiweka chama midomoni mwao Watanzania na kuusambaratisha kabisa upinzani dhaifu kama CHADEMA kila apitapo. Sasa ni Makonda na CCM tu kila kona na kila mahali. Ni Rais Samia tu katika vijiwe na magenge mitaa yote.


Kaka rudi upesi, namba ya simu umesahau, maana nimesoma, nikajua ni wewe, ila namba siioni, nashauri weka signature ya namba yako iwe inakuja kwenye kila andiko, pambana Kaka, utatoka tu.
 
Ukifiatilia hotuba zote alizotoa Kilimanjaro na Arusha hakuwa na ajenda ya kueleweka zaidi ya kuzungumzia maandamano ya Chadema na kujikomba kwa Mbowe.

Mara akasema siasa inalipa, mara nitalala kwa Mbowe, mara Samia karuhusu maandamano ya Chadema. Hivi Nchimbi hakumwandalia hoja za kupeleka kwa wananchi wa mikoa hiyo?

Mbaya zaidi ameiacha uchi CCM kuwa ni chama cha hovyo na kinatumia nguvu za polisi na vyombo vya dola kutawala kimabavu!
Makonda ni zero brain
 
Back
Top Bottom