- Thread starter
- #61
Na bado alisema Mbowe alimuomba eti amsaidie kuita watu. Sasa kama siyo kujikomba ni nini?Si unaona sasa! Unamuita mwenzio nguruwe, mzungu akikuita kima au nguruwe unalalamika ubaguzi, sasa huo ulioonyesha si ni ubaguzi wenyewe!
It's okay, Ameongea hivyo, lakini wewe umekuja na tafsiri nyingine ya kujikomba.
Narudia tena, ili chama chenu kifike mbali basi wekeni udini, ukabila, na ubaguzi pembeni.
Olenimala nkoi?
Mbwa wewe!