Makonda kawa kituko ziara Kanda ya Kaskazini

Katibu Mkuu Dr. Nchimbi asilaumiwe kwa hoja za Makonda. Anajua kabisa majukumu yake na huko anakopita kuna viongozi wa CCM wa mikoa hadi matawi,walipaswa kumshauri nini cha kuzungumza huko kutokana na changamoto au kazi nzuri zilizofanywa kama sehemu ya utekelezaji wa ilani ya CCM.
 
Huyo jamaa sijui nini kinampanikisha
 
Mbona hakuna ushahid makonda kaua mkuu
Hata wewe ukiua Ushahidi ukikosekana aiondoi kuuwa kwako. Na huyo analindwa hata Ushahidi ukiwepo apelekwi popote. Mbona alivamia clouds radio na Ushahidi wa kamera ulimuonyesha akuchukulia hatua. Je kutokuchukuliwa hatua kunaondoa uvamizi aliofanya clouds?.
 

Wewe ni moja ya kijana takataka hasara kwa taifa hili, vijana mlio tanguliza maslai mbele wachumia tumbo. wew kama ccm inatakiwa utasmini chama chako na kuona magepu yalio wazi ili 2025 yasifanyike makosa badala yake unatetea. shida kubwa za taifa hili kwa sasa zipo wazi kwa kila mtu Moja ikiwa umeme na gharama za maisha kuwa juu. makonda ziala zake utazani ametumwa na chadema au msemaji wa chadema. jichunge njaa isikae kichwani
 
Kwa
Jinsi Makonda anavyopenda sifa wewe mtakaa sello moja
 

Katibu mwenezi ajikombe kwa mbowe kweli! Angekuja mtu asiejihusisha na politics tungeamini hili, lakini wewe mchadema nani akuamini!

Ili Chadema kifike mbali basi wekeni udini, ukabila na ubaguzi pembeni. Otherwise mtaambulia baadhi ya wanakaskazini tena majobless
 
Mpumbavu wewe kwani hukusikia amesema atakwenda kulala kwa Mbowe? Sasa Mbowe ni ndugu yake au bwana yake atangazie umma kuwa anakwenda kwake?

Acha uchawa nguruwe 🐖 wewe!
 
Mpumbavu wewe kwani hukusikia amesema atakwenda kulala kwa Mbowe? Sasa Mbowe ni ndugu yake au bwana yake atangazie umma kuwa anakwenda kwake?

Acha uchawa nguruwe 🐖 wewe!

Si unaona sasa! Unamuita mwenzio nguruwe, mzungu akikuita kima au nguruwe unalalamika ubaguzi, sasa huo ulioonyesha si ni ubaguzi wenyewe!

It's okay, Ameongea hivyo, lakini wewe umekuja na tafsiri nyingine ya kujikomba.

Narudia tena, ili chama chenu kifike mbali basi wekeni udini, ukabila, na ubaguzi pembeni.

Olenimala nkoi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…