Pre GE2025 Makonda: Kuanzia kesho (Machi 3) kila Mwanaume hapa Arusha am-post mpenzi wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Atununulie simu janja na atuwekee mabandooo!!!!
 
Kwahiyo TRA wanakata PAYE yangu, halafu inakuja kulipa hii takataka!?
 
Arusha safari hii wameyakanyaga aiseee..!! 😹
 
Mambo ya wanawake ndio yanakuliza?
 
bashite kila mkoa anakoenda huwa anamiliki watu wote wa mkoa ule,wanaume kwa wanawake, yeye ndiye wa kuwaamulia mambo, na kuna wanaume wanafurahi kweli kumilikiwa na kuelekezwa na huyo aliyeiba vyeti.
 
🚮🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…