Makonda kuapa kesho kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ataondoka na msafara wa gari moja, tofauti na awali magari sabini

Usifiaji wa namna hii si mzuri abadani msifiwaji anaweza kumtaka msifiaji anyanduliwe na msifiaji akawa tayari kwa hilo
 
Ufichage huo upumbavu, nani anasubiri kwa hamu uapisho wa hilo jinga, labda we na mke wako. Kweli ndege wafananao huruka pamoja.
 
Mwaka huu ni lazima ufe kwa presha.
Lucas mimi siishi kwa matumaini ya kuteuliwa kama wewe,wala mimi siyo chawa nina maisha yangu na nimejitosheleza ndiyo maana simnyenyekei mwanadamu yoyote yule,tofauti na wewe unayekesha mitandaoni kuwasifia watu ambao hawana muda na wewe kabisa tena wengine wanakuona wewe ni kinyesi tu.
 
Chuga jiandanaeni kutrendi mitandaoni. Celebrity kashaingia🤣👋
 
Ufichage huo upumbavu, nani anasubiri kwa hamu uapisho wa hilo jinga, labda we na mke wako. Kweli ndege wafananao huruka pamoja.
Naona umeshaanza kutetemeka utafikiri mgonjwa kabla hata Mwamba hajala kiapo chake. Akila kiapo na kuunguruma Arusha ni lazima utazimia kwa presha.
 
Kwani nani kasema nipo hapa jukwaani kutafuta maisha.
 
Kesho ndugu yetu Paulo ataapa kushika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Jitihada zinafanyika kukusanya magari ya kukodi huko Arusha ili apokewe na msafara mrefu pale atakapokaribia kuingini katika jiji hilo.

View attachment 2953229
Nawakubali sana wazee wa Kusini kwani ndiyo walimaliza kibri ya huyu juha kwa kupiga kipapai msafara wake wakawa wanagongana wenyewe kwa wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…