Wewe umekuja Duniani jana? Hivi aliyemdhalilisha mkurugenzi wa jiji la Dar hadharani, mbele ya Rais Magufuli, na kisha mzee wa watu kufa ghafla kwa mshtuko, anaitwa nani?Komredi Makonda aliwahi kumdhalilisha nani hadharani tangu amekuwa Katibu Itikadi, Uenezi na Mafunzo? Mtaje mmoja.
Na kama kweli Komredi Kinana kamsema Makonda huoni kuwa yeye ndio kamdhalilisha Komredi Makonda hadharani? Alishindwa vipi kumwambia ofisini? Na unafikiri nani wa kishughulikiwa hapo?
Zama za Mzee Kinana zimepita, wakati mwingine Wazee wawe na busara za kukaa pembeni kuwaachia damu Changa madaraka. No thanks
CCM ukiielewa utacheka sana. Kwa ufupi Makonda na Kinana wanafurahisha makundi mawili yanayotofautiana. Kuna wananchi wanaofurahia baadhi ya anayofanya Makonda na kuna wasiopendezwa. Sasa hawa wajumbe wa wawili wa kamati kuu wanataka sapoti ya makundi yote kwa CCM. Unayependezwa na kauli ya Mzee we wetu na unayependezwa na kauli ya kijana nae wetu. Kazi iendelee
Uko Mwanza ipi ambako Makonda anasemwa vibaya!!? Eti watu anawasomba, hebu jaribu wewe kusomba hao watu tuone kama hata Coaster watajaa. Makonda anakubalika sana tu ndio maana CCM, Kamati Kuu na NEC wakakubali apewe cheo hicho.Kanda ya Ziwa ya wapi anakosikilizwa Makonda? Nipo Kanda ya Ziwa, hapa Mwanza, sijawahi kumsikia yeyote akitoa positive comments kwa Makonda. Au hao watu anaowasombasomba kwaajili ya mikutano yake, ndio wamekuwa wawakilishi wa watu wote wa kanda ya Ziwa?
Si Makonda wala si Kinana, mwenye ushawishi Kanda ya Ziwa.
Mkuu mpe mkund wako ili tuone kama kweli ana nguvu ama la.Makonda ana ugumu gani? Zaidi ya kulia kanisani.
Kauli ya kiongozi!Makonda sasa asuke au anyone, Kinana ametoa kauli kwamba falsafa ya Rais Samia ni kufuata Katiba sheria na kanuni, na kwamba watendaji wasidhalilishwe na viongozi.
Naiona falsafa ya makonda ya kudhalilisha ili apate umaarufu inagonga mwamba, je nini hatma yake?
Atabadili gia angani na kwanza kueneza itikadi ya chama badala ya kutembea huku na kule akidhalilisha watendaji?.
View attachment 2841593
Econonist unazungumzia uchumi unaonufaisha majority ya watanzania. Maana uchumi wao binafsi uko vizuri. Ni vipaumbele tu vya akili waitumie vipi na wapi.Hawana hiyo akili. Wangekuwa Wana hiyo akili wangeipeleka kwenye uchumi.
Kinana naye wa kupuuzwa wivu tu kwa Makonda,Yeye na Nape kipindi cha Jk walikuwa wakizunguka Tanganyika mzima kutangaza mawaziri mzigo, mpaka wakaanzisha msemo wa kuvua magamba,hakina Lostamu wakaacha ubunge kwa siasa uchwala,Je huo hakuwa udhalilishaji? Kinana naye sio msafi analindwa na mfumo mibovu ya nchi,tungelikuwa kama China tulikwisha msahau.Makonda sasa asuke au anyone, Kinana ametoa kauli kwamba falsafa ya Rais Samia ni kufuata Katiba sheria na kanuni, na kwamba watendaji wasidhalilishwe na viongozi.
Naiona falsafa ya makonda ya kudhalilisha ili apate umaarufu inagonga mwamba, je nini hatma yake?
Atabadili gia angani na kwanza kueneza itikadi ya chama badala ya kutembea huku na kule akidhalilisha watendaji?.
View attachment 2841593
Tulia, boss lasemaKinana naye wa kupuuzwa wivu tu kwa Makonda,Yeye na Nape kipindi cha Jk walikuwa wakizunguka Tanganyika mzima kutangaza mawaziri mzigo, mpaka wakaanzisha msemo wa kuvua magamba,hakina Lostamu wakaacha ubunge kwa siasa uchwala,Je huo hakuwa udhalilishaji? Kinana naye sio msafi analindwa na mfumo mibovu ya nchi,tungelikuwa kama China tulikwisha msahau.
Naona nyie Wahuni Makonda anawanyima usingizi kwelikweliMakonda sasa asuke au anyone, Kinana ametoa kauli kwamba falsafa ya Rais Samia ni kufuata Katiba sheria na kanuni, na kwamba watendaji wasidhalilishwe na viongozi.
Naiona falsafa ya makonda ya kudhalilisha ili apate umaarufu inagonga mwamba, je nini hatma yake?
Atabadili gia angani na kwanza kueneza itikadi ya chama badala ya kutembea huku na kule akidhalilisha watendaji?.
View attachment 2841593
HakikaKumdhalilisha mtu ni kumtaka afanye kitu ambacho hatakiwi kufanya au kinachochafua utu wake.
Makonda ye anahamasisha utendaji na uwajibikaji bila kuoneana haya. Huyo samia mwenyewe amewashawaambia viongozi wenzie stupid hadharani tena mara mbili.
Kinana anajaribu kufukuzana na Makonda. Kitu ambacho atafeli. Hao kina Kinana walipewa nafasi Makonda akiwa benchi wakadhani wamepewa ulaji. Mwanaume anapiga kazi ndio wanashtuka.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Kumdhalilisha mtu ni kumtaka afanye kitu ambacho hatakiwi kufanya au kinachochafua utu wake.
Makonda ye anahamasisha utendaji na uwajibikaji bila kuoneana haya. Huyo samia mwenyewe amewashawaambia viongozi wenzie stupid hadharani tena mara mbili.
Kinana anajaribu kufukuzana na Makonda. Kitu ambacho atafeli. Hao kina Kinana walipewa nafasi Makonda akiwa benchi wakadhani wamepewa ulaji. Mwanaume anapiga kazi ndio wanashtuka.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Kanda ya ziwa upo unafanya kazi za ndani labda!!Kanda ya Ziwa ya wapi anakosikilizwa Makonda? Nipo Kanda ya Ziwa, hapa Mwanza, sijawahi kumsikia yeyote akitoa positive comments kwa Makonda. Au hao watu anaowasombasomba kwaajili ya mikutano yake, ndio wamekuwa wawakilishi wa watu wote wa kanda ya Ziwa?
Si Makonda wala si Kinana, mwenye ushawishi Kanda ya Ziwa.
Wewe ni mjinga unadhani kinana ananguvu kuliko Makonda kanda ya ziwa? Mikutano ya Makonda na Kinana inalingana?Kanda ya Ziwa ya wapi anakosikilizwa Makonda? Nipo Kanda ya Ziwa, hapa Mwanza, sijawahi kumsikia yeyote akitoa positive comments kwa Makonda. Au hao watu anaowasombasomba kwaajili ya mikutano yake, ndio wamekuwa wawakilishi wa watu wote wa kanda ya Ziwa?
Si Makonda wala si Kinana, mwenye ushawishi Kanda ya Ziwa.
Tunakuuliza juzi wakati wa ziara alimzalilisha nani wewe mjinga?Wewe umekuja Duniani jana? Hivi aliyemdhalilisha mkurugenzi wa jiji la Dar hadharani, mbele ya Rais Magufuli, na kisha mzee wa watu kufa ghafla kwa mshtuko, anaitwa nani?
Unahangaika tu! Kinana na kundi lake la Kikwete halikutaka aje Makonda!Law of the Universe !!
Ngoja tuone !!