Makonda kusuka au kunyoa: Kinana awataka watendaji wafuate muongozo wa Rais kwa kutodhalilisha watendaji hadharani

Wewe umekuja Duniani jana? Hivi aliyemdhalilisha mkurugenzi wa jiji la Dar hadharani, mbele ya Rais Magufuli, na kisha mzee wa watu kufa ghafla kwa mshtuko, anaitwa nani?
 

Hawana hiyo akili. Wangekuwa Wana hiyo akili wangeipeleka kwenye uchumi.
 
Uko Mwanza ipi ambako Makonda anasemwa vibaya!!? Eti watu anawasomba, hebu jaribu wewe kusomba hao watu tuone kama hata Coaster watajaa. Makonda anakubalika sana tu ndio maana CCM, Kamati Kuu na NEC wakakubali apewe cheo hicho.
 
Kauli ya kiongozi!
 
Hawana hiyo akili. Wangekuwa Wana hiyo akili wangeipeleka kwenye uchumi.
Econonist unazungumzia uchumi unaonufaisha majority ya watanzania. Maana uchumi wao binafsi uko vizuri. Ni vipaumbele tu vya akili waitumie vipi na wapi.
 
Kwasasa Kinana hamuwezi Makonda! Huyo dogo sijui ana nini ila ni powerful! Mama Samia kwasasa Makonda ni muhimu kuliko hao elites.
 
Kinana naye wa kupuuzwa wivu tu kwa Makonda,Yeye na Nape kipindi cha Jk walikuwa wakizunguka Tanganyika mzima kutangaza mawaziri mzigo, mpaka wakaanzisha msemo wa kuvua magamba,hakina Lostamu wakaacha ubunge kwa siasa uchwala,Je huo hakuwa udhalilishaji? Kinana naye sio msafi analindwa na mfumo mibovu ya nchi,tungelikuwa kama China tulikwisha msahau.
 
Tulia, boss lasema
 
Naona nyie Wahuni Makonda anawanyima usingizi kwelikweli
 
Hakika
 

Mmmh
 
Kanda ya ziwa upo unafanya kazi za ndani labda!!

Hakuna mtu legelege Kanda ya ziwa
 
Wewe ni mjinga unadhani kinana ananguvu kuliko Makonda kanda ya ziwa? Mikutano ya Makonda na Kinana inalingana?
 
Wewe umekuja Duniani jana? Hivi aliyemdhalilisha mkurugenzi wa jiji la Dar hadharani, mbele ya Rais Magufuli, na kisha mzee wa watu kufa ghafla kwa mshtuko, anaitwa nani?
Tunakuuliza juzi wakati wa ziara alimzalilisha nani wewe mjinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…