Makonda kusuka au kunyoa: Kinana awataka watendaji wafuate muongozo wa Rais kwa kutodhalilisha watendaji hadharani

Sasa kama upo ofisi za bavicha muda wote utasikia habari positive juu ya makonda kweli?
 
Mzee kachoka Sana angepumzika.
Huwa wanakosa peace of mind kutokana na yale waliyowatendea kwa uonevu watu wengine !!
Hivyo hawezi kupumzika maana wanajuaga nguvu ya Mamba kumayi !!
 
We ni bwege lisilojitambua
 
Wahuni sio sehemu ya mfumo wa nchi
 
Samia ana akili sana asingekubali ule upuuzi wa Makonda, alifikiri ni km yule mshamba mwenzie?
 
A

Acha ukanda we lofa. Sema washamba wenzie wasukuma, Mara, Kagera usiwaunganishe na ushamba wenu
Kwa hiyo lengo laki kutukana Wasukuma?
Pumbavu zako! Ngoja tuone kati ya Makonda na huyo muuza meno ya tembo nani ni nani?
Yeye wakati anasema mawaziri mzigo alikuwa anazalilisha ama laa?
Mnafiki sana huyo!
 
Ila mbona kama Mzee wetu huyu huwa ana hasira sana na Makonda? Kulikoni? Huwa anaionyesha waziwazi!
 
Hata mama mwenyewe sio mjinga! Kinana ni liability na Makonda ni asset!
Mama mwenyewe anajua kabisa Kinana na Makonda hawaelewani!
 
Blackmail siyo nzuri, tuhuma zichunguzwe, zikiwa na ukweli watuhumiwa washitakiwe mahakamani na hukumu zitolewe kwa haki. Ku black mail watu ni uhaini sio ujanja.
 
Hata kama anasikilizwa lakini asidhalilishe watendaji. Huo ndio ujumbe wa hapa.
Tupate orodha ya waliodhalilishwa. Ili Twende sawa...!! Kuna uwezekano Mkuu Makamu ana hoja.
 
Wewe umekuja Duniani jana? Hivi aliyemdhalilisha mkurugenzi wa jiji la Dar hadharani, mbele ya Rais Magufuli, na kisha mzee wa watu kufa ghafla kwa mshtuko, anaitwa nani?
Uko timamu kweli? Hoja yangu umelisoma ukailewa kweli? Kwahiyo Komredi Kinana alikuwa anazungumzia habari za kipindi cha Mwamba Jiwe Magufuli? Mbona unachanganya madesa Dogo?
 
Wewe umekuja Duniani jana? Hivi aliyemdhalilisha mkurugenzi wa jiji la Dar hadharani, mbele ya Rais Magufuli, na kisha mzee wa watu kufa ghafla kwa mshtuko, anaitwa nani?
Uko timamu kweli? Hoja yangu umeisoma ukailewa kweli? Kwahiyo Komredi Kinana alikuwa anazungumzia habari za kipindi cha Mwamba Jiwe Magufuli? Mbona unachanganya madesa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…