Kanda ya ziwa ipi? Mbona mbalishana matango pori nyie?Haelewi mchezo unavyokwenda,Kanda ya Ziwa Mwanaume anayesikilizwa ni Makonda,anafikiri Mama mjinga kumrudisha Makonda!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Hilo watu hawajaligundua, Kinana ni right hand man wa mama anazungumza kwa niaba yake.Kinana kayasema hayo kwa niaba ya Mwenyekiti. Nyamitako ameshayatimba
Kinana hajawahi kuwa mtu wa SamiaHilo watu hawajaligundua, Kinana ni right hand man wa mama anazungumza kwa niaba yake.
Hili dogo linalo payuka halina muda mrefu pale, kwanza limesha chemsha!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
ujumbe ushafika ndugu.Ficha upumbavu wako, pamoja na muuaji wa Tembo
Kinana anachanganya mambo kusudi. Rais alisema watendaji wa serikali ndio wasidhalilishe viongozi wala haliwahusu viongozi wa chama kwa watendaji wa serikali. Pia ni kinana huyuhuyu alianza mtindo wa kuwasema na kuwakosoa viongozi na watendaji wa serikali hadharani. Pia yafaa kutofautisha kuwasema na kuwakosoa viongozi na watendaji wa serikali na kuwadhalilisha. Ukweli kusemwa hadhari inapokua ndio njia pekee imebaki yenye kuleta tija na matokeo lazima ifanyike. Kinana asije na mbinu chafu kuleta uzibe kwa viongozi wa chama kukosoa vigogo wa serikali waovu na fisadi.Makonda sasa asuke au anyoe, Kinana ametoa kauli kwamba falsafa ya Rais Samia ni kufuata Katiba sheria na kanuni, na kwamba watendaji wasidhalilishwe na viongozi.
Naiona falsafa ya makonda ya kudhalilisha ili apate umaarufu inagonga mwamba, je nini hatma yake?
Atabadili gia angani na kwanza kueneza itikadi ya chama badala ya kutembea huku na kule akidhalilisha watendaji?.
View attachment 2841593
Na bila kufanya vile kiki za kisiasa hazinogi kwake kwa sababu ataonekana ni kama wengine tu ! Ilihali mtu yeyote mwenye kutaka aonekane ni wa tofauti na wengine ni lazima awasulubu wenzake mbele ya hadhara ya watu wengi !πππππHata kama anasikilizwa lakini asidhalilishe watendaji. Huo ndio ujumbe wa hapa.
Sasa Makonda amewahi mdhalilisha nani?Makonda sasa asuke au anyoe, Kinana ametoa kauli kwamba falsafa ya Rais Samia ni kufuata Katiba sheria na kanuni, na kwamba watendaji wasidhalilishwe na viongozi.
Naiona falsafa ya makonda ya kudhalilisha ili apate umaarufu inagonga mwamba, je nini hatma yake?
Atabadili gia angani na kwanza kueneza itikadi ya chama badala ya kutembea huku na kule akidhalilisha watendaji?.
View attachment 2841593
Viongozi hawakuwahi kufurahia kudhalilishwa mbele ya hadhara ya watu kipindi kile Mwamba yupo hai !Kinana anachanganya mambo kusudi. Rais alisema watendaji wa serikali ndio wasidhalilishe viongozi wala haliwahusu viongozi wa chama kwa watendaji wa serikali. Pia ni kinana huyuhuyu alianza mtindo wa kuwasema na kuwakosoa viongozi na watendaji wa serikali hadharani. Pia yafaa kutofautisha kuwasema na kuwakosoa viongozi na watendaji wa serikali na kuwadhalilisha. Ukweli kusemwa hadhari inapokua ndio njia pekee imebaki yenye kuleta tija na matokeo lazima ifanyike. Kinana asije na mbinu chafu kuleta uzibe kwa viongozi wa chama kukosoa vigogo wa serikali waovu na fisadi.
Kwani wote uliowataja mbona inasemekana ni wamoja ??!!Kinana hajawahi kuwa mtu wa Samia
Huyo ni mtu wa Kikwete!
Samia na Kinana wangekuwa wanaimba wimbo mmoja Makonda asingeteuliwa!
dogo kapigwa spana, hatathubutu tena kumpigia Waziri kumwomba report ya mwezi.. πVita bado mbichi
Hakuna kiongozi atapenda kukosolewa hadharani ila wananchi wanapenda na vigogo wanaogopa sana hiyo. Ni njia ambayo haina budi maana ina matokeo. Wezi na wapigaji hata wakiambiwa vipi vikao vya ndani na wapigaji wenzao ni wazi ni sawa na mbuzi wanapigiana gitaa.Viongozi hawakuwahi kufurahia kudhalilishwa mbele ya hadhara ya watu kipindi kile Mwamba yupo hai !
Watakubali kudhalilishwa hivi sasa na Makonda au na mtu mwingine yeyote ??!!
Ngoja Tusubiri tuone !! ππ
mwambieni dogo aache kuchachawa, watendaji wa Serikali wana njia zao za kuwajibishwa. Kinana yupo sahihi.Kinana anachanganya mambo kusudi. Rais alisema watendaji wa serikali ndio wasidhalilishe viongozi wala haliwahusu viongozi wa chama kwa watendaji wa serikali. Pia ni kinana huyuhuyu alianza mtindo wa kuwasema na kuwakosoa viongozi na watendaji wa serikali hadharani. Pia yafaa kutofautisha kuwasema na kuwakosoa viongozi na watendaji wa serikali na kuwadhalilisha. Ukweli kusemwa hadhari inapokua ndio njia pekee imebaki yenye kuleta tija na matokeo lazima ifanyike. Kinana asije na mbinu chafu kuleta uzibe kwa viongozi wa chama kukosoa vigogo wa serikali waovu na fisadi.
Ngoja Tusubiri tuone mtifuano huu nani ataibuka mshindi !!Hakuna kiongozi atapenda kukosolewa hadharani ila wananchi wanapenda na vigogo wanaogopa sana hiyo. Ni njia ambayo haina budi maana ina matokeo. Wezi na wapigaji hata wakiambiwa vipi vikao vya ndani na wapigaji wenzao ni wazi ni sawa na mbuzi wanapigiana gitaa.
Nazipenda comments zako !Siasa ndivyo zilivyo...
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Nazipenda comments zako !
Siasa ndivyo zilivyo na nyingine Serikali ndivyo ilivyo ππππ !
You know nothing bro, Bashite kawekwa kwa kazi ya muda mfupi hasa baada ya ziara ya Chadema kanda ya ziwa ili apunguze makali ya hiyo ziara. Anatumika kama TP tuuKinana hajawahi kuwa mtu wa Samia
Huyo ni mtu wa Kikwete!
Samia na Kinana wangekuwa wanaimba wimbo mmoja Makonda asingeteuliwa!