Makonda kuwa Waziri kwenye Wizara nyeti 2025 na mgombea urais 2030, na kuwa the Next Magu

Makonda kuwa Waziri kwenye Wizara nyeti 2025 na mgombea urais 2030, na kuwa the Next Magu

Mleta hoja amka kumekucha nenda kafanye kazi ya kipato halali acha kuwa kunguni na acha kuota ndoto za alinacha!
 
Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,

Pili Nawasalimu Kwa jina la CCM
,
Tatu karibu sana Brother, nakutaja mara tatu Makonda, Makonda, Makonda. Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,, Narudia karibu sana Lumumba head office bro.

Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "

Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,

Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.

Nne, hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..

Welcome bro..

Jion njema!
Unaota wewe magamba matatu, munajifanya nyie ni manabii wa mungu mfu ccm

Aliyekuambia 2030 ccm itakuwepo nani??
 
Hilo linawezekana ila sio kwa ubora wa uongozi, bali ni kutaka kuingiza kiongozi anayekemea maana tuna katiba isiyo na meno. Hivyo tunataka kuletewa kiongozi wa kubweka.
 
Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,

Pili Nawasalimu Kwa jina la CCM
,
Tatu karibu sana Brother, nakutaja mara tatu Makonda, Makonda, Makonda. Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,, Narudia karibu sana Lumumba head office bro.

Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "

Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,

Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.

Nne, hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..

Welcome bro..

Jion njema!
angeandika britanicca ningeelewa
 
angeandika britanicca ningeelewa
Aliandika kuhusu regime ya JPM na ikawa kweli Kwa asilimia zote!

Makonda ,binafsi namuona kama zaidi ya mkuu was mkoa,Kuna kitu kinapikwa na state kuhusu huyu mtu!!!

Na watu wanamkubali japo ana tuhuma nyingi nyingi za kiutendaji Kwa regime iliyopita ,japo tuhuma zenyewe zinaweza zikawa no maelekezo ya mfumo !!

Kifupi anaandaliwa
 
Aliandika kuhusu regime ya JPM na ikawa kweli Kwa asilimia zote!

Makonda ,binafsi namuona kama zaidi ya mkuu was mkoa,Kuna kitu kinapikwa na state kuhusu huyu mtu!!!

Na watu wanamkubali japo ana tuhuma nyingi nyingi za kiutendaji Kwa regime iliyopita ,japo tuhuma zenyewe zinaweza zikawa no maelekezo ya mfumo !!

Kifupi anaandaliwa
kumleta Makonda Meza kuu ni kukaribisha LAANA KUU kutoka kwa Mungu! Mioyo yetu imevuja Damu kwa ajili yake! Mungu atatenda Jambo kabla hata hajaletwa mezani
 
Aliandika kuhusu regime ya JPM na ikawa kweli Kwa asilimia zote!

Makonda ,binafsi namuona kama zaidi ya mkuu was mkoa,Kuna kitu kinapikwa na state kuhusu huyu mtu!!!

Na watu wanamkubali japo ana tuhuma nyingi nyingi za kiutendaji Kwa regime iliyopita ,japo tuhuma zenyewe zinaweza zikawa no maelekezo ya mfumo !!

Kifupi anaandaliwa
Huyu Bashite anavitu viwili tu ambavyo vinamsubiri maishani baada ya Samia kutoka madarakani:- (1) Kifo au (2) Kifo.

Kipi kitatangulia kingine sijui

Hayo mengine anayoongea mwandishi ni soga za vijiweni.
 
Tumuombee salama na umri mrefu.

Tusijipangie kama sisi ndiyo waumbaji.
 
Back
Top Bottom