Makonda, mkoa wa Mtwara una wenyewe, pole sana Mungu awaponye majeruhi haraka

 
Mzee nije mnifanyie tambiko, nahitaji kufanya harakati za kuwa rais
 
Duh,
Bei ya korosho imeshuka hivyo?!
Hali si rafiki, tunakoelekea uzalishaji utashuka.

Watu wamewekeza nguvu kubwa kwenye mazao ya muda mfupi kama ufuta, mbaazi, choroko na kunde ambayo pia gharama za uendeshaji ni nafuu.

Haiwezekani kilo moja ya mbaazi iuzwe bei kubwa kuliko korosho.
Pia kumbuka, makato ya tozo kwenye mbaazi hayafiki tsh 100, ila kwenye korosho makato ni almost tsh 400.
 
Niliwahi "kumkopa" mwanamke wa Kimakonde penzi la siku moja nikijifanya mi mjanja kutoka Dar. Niliporudi Dar kila nilipokutana na mke wangu Ikifika tu Niko kileleni nataka kuwaachia wazungu nasikia sauti yake akiniita Kwa jina la mtoto "we baba fulani acha huo ujinga" hapo hapo Jonie ananywea. Ilibidi nimtafute akaniambia "wewe nitumie tu haki yangu ya ngono niliyokupa kwa moyo wa dhati". Nikatuma 100,000/= na 6000/= ya kutolea. Nikapona.
 
Hili nalo litapita salama..

R.I.P Laigwanan comrade EL
 
Sasa si mngesubiri afike mumsikilize..labda kaja na majibu? Mkimzuia njiani ndio mmetatua tatizo?

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
wewe kwa akili zako unadhani makonda ana majibu ya bei za korosho au usaniii tu na kujisafisha yeye mwenyewe kufuatia madudu yake enzi za jiwe?.
 
Kuna yule bibi wa mtwara aligoma gesi isitoke.[emoji1787][emoji1787].ndo maana mzee mkapa alipakimbia huko kwenu uchawi mwingi
 
Kwanini msielekeze hiyo nguvu kuwashughulikia madalali wa korosho
Hao madalali wenyewe wachawi kinoma.kuna dalali huku bagamoyo. Mfuko wa suruali umetuna bongo la hirizi.
 
Huko mnategemea korosho, kulima na mazao mengine hamuwezi uvivu tu na nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…