Makonda, mkoa wa Mtwara una wenyewe, pole sana Mungu awaponye majeruhi haraka

Makonda, mkoa wa Mtwara una wenyewe, pole sana Mungu awaponye majeruhi haraka

Sisi tuna akili timamu kwasababu ndio watu wa kwanza kustaarabika sasa iweje tumsikilize na kumuwekea matumaini huyo hanithi ambaye tuna mashaka hata govi hajakatwa? Wazee wa pwani wana matata mno nakumbuka utawala wa kikwete alikuja waziri mmoja anaitwa Jenister muhagama alikuja kutuliza hali fulani hivi kwa kutumia katata ya eti nae ni mtu wa kusini,kabla hajaanza kuhutubia alisimama mtu mmoja na kumuuliza kuwa tangu lini mwanamke wa kusini anasimama mbele ya wanaume wakati ana mimba tumboni? Halafu kwanini yupo uchi mbele ya wanaume? Na huyo aliemtuma kwanini kawadharau hivi kwanini asije mwenyewe mpaka awaletee mwanamke? Mama alipaniki sana na hana hamu tena
Serious??
 
Wachawi WA kusini Wana ujinga flani hivi. Wao uchawi ndio fahari Yao Wala hawataki mambo mengi.!
 
P.Makonda kabla ya kukatisha ziara yako, nilikuambia ukija mkoa wa Mtwara uje na majibu ya bei ya korosho.

Pia ukija Mtwara uje na uwataje madalali wa korosho au wanaoua soko la korosho Mtwara, lakini ata kabla andiko langu halijamarza siku,leo wana Mtwara na Lindi kama kawaida yao wamekutumia salamu.

Sisi watu wa Mtwara tuna utamaduni wetu pamoja na watu wa Lindi machozi yetu ,ambayo yamesababishwa na chama cha Mapinduzi hayajaisha.

P.Makonda unakumbuka ule moshi ulitoka mikoa gani? P.Makonda rudi kajipange upya ndipo urudi mkoa wa Mtwara.

Umezunguka nchi nzima, umekutana na watwesi lakini uku kwetu tuna makabila machache sana na tuna mamwenye kama hawajaridhika hakuna utakalofanikiwa uku.

NI MIMI
MWENYE:MATULANYA MPUTA
MBUNGE 2025 JIMBO LULINDI (MTWARA)
Email:raomary059@gmail.com
KARIBU TENA MH P.MAKONDA (Nenda kwanza gamboshi ndipo urudi uku twatumia unga tu kupuliza ujumbe waja)

🤣🤣

IMG_20240211_194954.jpg
 
Upuuzi mtupu! Mtwara mnamambo ya ajabu Sana badala ya kunyoosha hao mawaziri na wafanyabiashara wanao wapiga mnataka mumunyakue makonda aisee nyie watu wa hatari sana.
JPM mlimpiga Moshi huyu ajali msilalamike viongozi wasipokuja huko kuwaona maana inaonekana mpo upande ule kwenye mapigano
 
P.Makonda kabla ya kukatisha ziara yako, nilikuambia ukija mkoa wa Mtwara uje na majibu ya bei ya korosho.

Pia ukija Mtwara uje na uwataje madalali wa korosho au wanaoua soko la korosho Mtwara, lakini ata kabla andiko langu halijamarza siku,leo wana Mtwara na Lindi kama kawaida yao wamekutumia salamu.

Sisi watu wa Mtwara tuna utamaduni wetu pamoja na watu wa Lindi machozi yetu ,ambayo yamesababishwa na chama cha Mapinduzi hayajaisha.

P.Makonda unakumbuka ule moshi ulitoka mikoa gani? P.Makonda rudi kajipange upya ndipo urudi mkoa wa Mtwara.

Umezunguka nchi nzima, umekutana na watwesi lakini uku kwetu tuna makabila machache sana na tuna mamwenye kama hawajaridhika hakuna utakalofanikiwa uku.

NI MIMI
MWENYE:MATULANYA MPUTA
MBUNGE 2025 JIMBO LULINDI (MTWARA)
Email:raomary059@gmail.com
KARIBU TENA MH P.MAKONDA (Nenda kwanza gamboshi ndipo urudi uku twatumia unga tu kupuliza ujumbe waja)
awaponye waende wapi?
 
P.Makonda kabla ya kukatisha ziara yako, nilikuambia ukija mkoa wa Mtwara uje na majibu ya bei ya korosho.

Pia ukija Mtwara uje na uwataje madalali wa korosho au wanaoua soko la korosho Mtwara, lakini ata kabla andiko langu halijamarza siku,leo wana Mtwara na Lindi kama kawaida yao wamekutumia salamu.

Sisi watu wa Mtwara tuna utamaduni wetu pamoja na watu wa Lindi machozi yetu ,ambayo yamesababishwa na chama cha Mapinduzi hayajaisha.

P.Makonda unakumbuka ule moshi ulitoka mikoa gani? P.Makonda rudi kajipange upya ndipo urudi mkoa wa Mtwara.

Umezunguka nchi nzima, umekutana na watwesi lakini uku kwetu tuna makabila machache sana na tuna mamwenye kama hawajaridhika hakuna utakalofanikiwa uku.

NI MIMI
MWENYE:MATULANYA MPUTA
MBUNGE 2025 JIMBO LULINDI (MTWARA)
Email:raomary059@gmail.com
KARIBU TENA MH P.MAKONDA (Nenda kwanza gamboshi ndipo urudi uku twatumia unga tu kupuliza ujumbe waja)
Sisi watu wa Mtwara tuna utamaduni wetu pamoja na watu wa Lindi machozi yetu ,ambayo yamesababishwa na chama cha Mapinduzi hayajaisha.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi watu wa Mtwara tuna utamaduni wetu pamoja na watu wa Lindi machozi yetu ,ambayo yamesababishwa na chama cha Mapinduzi hayajaisha.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi sijui Kwa nini naweza vumilia matusi yote lakini mtu akinitukana akaniambia uko kama mtu wa Mtwara na Lindi Hilo tusi siwezi vumilia nitapigana naye Hadi kieleweke
 
P.Makonda kabla ya kukatisha ziara yako, nilikuambia ukija mkoa wa Mtwara uje na majibu ya bei ya korosho.

Pia ukija Mtwara uje na uwataje madalali wa korosho au wanaoua soko la korosho Mtwara, lakini ata kabla andiko langu halijamarza siku,leo wana Mtwara na Lindi kama kawaida yao wamekutumia salamu.

Sisi watu wa Mtwara tuna utamaduni wetu pamoja na watu wa Lindi machozi yetu ,ambayo yamesababishwa na chama cha Mapinduzi hayajaisha.

P.Makonda unakumbuka ule moshi ulitoka mikoa gani? P.Makonda rudi kajipange upya ndipo urudi mkoa wa Mtwara.

Umezunguka nchi nzima, umekutana na watwesi lakini uku kwetu tuna makabila machache sana na tuna mamwenye kama hawajaridhika hakuna utakalofanikiwa uku.

NI MIMI
MWENYE:MATULANYA MPUTA
MBUNGE 2025 JIMBO LULINDI (MTWARA)
Email:raomary059@gmail.com
KARIBU TENA MH P.MAKONDA (Nenda kwanza gamboshi ndipo urudi uku twatumia unga tu kupuliza ujumbe waja)
Sawa .na kilichomuua yule jamaa aliyejiita jasusi mbobezi ni nini? Auaye Kwa upanga atakufa Kwa upanga .Huo Ndiyo utaratibu wa kimuungu!!
 
Mtwara ingekua zaidi ya Mwanza kimaendeleo kama kusingekuwa na uchawi...

Uchawi si jambo la kujisifia...

Uchawi ilikua kinga ya mwafrika...

Sasa inatumika vibaya.
 
Sawa .na kilichomuua yule jamaa aliyejiita jasusi mbobezi ni nini? Auaye Kwa upanga atakufa Kwa upanga .Huo Ndiyo utaratibu wa kimuungu!!
Kwa hiyo nyamitako aliyemuua Ben Saanane naye atauwawa kwa njia hiyo hiyo?
 
Back
Top Bottom