Makonda, mkoa wa Mtwara una wenyewe, pole sana Mungu awaponye majeruhi haraka

Makonda, mkoa wa Mtwara una wenyewe, pole sana Mungu awaponye majeruhi haraka

Wame niangusha Sana ingebidi wamle kichwa kabisa
 
KJ tunaendelea kuorodhesha madhambi yake.

Hajui hii awamu haikupigiwa kura na Wananchi!
 
P.Makonda kabla ya kukatisha ziara yako, nilikuambia ukija mkoa wa Mtwara uje na majibu ya bei ya korosho.

Pia ukija Mtwara uje na uwataje madalali wa korosho au wanaoua soko la korosho Mtwara, lakini ata kabla andiko langu halijamarza siku,leo wana Mtwara na Lindi kama kawaida yao wamekutumia salamu.

Sisi watu wa Mtwara tuna utamaduni wetu pamoja na watu wa Lindi machozi yetu ,ambayo yamesababishwa na chama cha Mapinduzi hayajaisha.

P.Makonda unakumbuka ule moshi ulitoka mikoa gani? P.Makonda rudi kajipange upya ndipo urudi mkoa wa Mtwara.

Umezunguka nchi nzima, umekutana na watwesi lakini uku kwetu tuna makabila machache sana na tuna mamwenye kama hawajaridhika hakuna utakalofanikiwa uku.

NI MIMI
MWENYE:MATULANYA MPUTA
MBUNGE 2025 JIMBO LULINDI (MTWARA)
Email:raomary059@gmail.com
KARIBU TENA MH P.MAKONDA (Nenda kwanza gamboshi ndipo urudi uku twatumia unga tu kupuliza ujumbe waja)
🤣🤣🤣🎤🔊
 
P.Makonda kabla ya kukatisha ziara yako, nilikuambia ukija mkoa wa Mtwara uje na majibu ya bei ya korosho.

Pia ukija Mtwara uje na uwataje madalali wa korosho au wanaoua soko la korosho Mtwara, lakini ata kabla andiko langu halijamarza siku,leo wana Mtwara na Lindi kama kawaida yao wamekutumia salamu.

Sisi watu wa Mtwara tuna utamaduni wetu pamoja na watu wa Lindi machozi yetu ,ambayo yamesababishwa na chama cha Mapinduzi hayajaisha.

P.Makonda unakumbuka ule moshi ulitoka mikoa gani? P.Makonda rudi kajipange upya ndipo urudi mkoa wa Mtwara.

Umezunguka nchi nzima, umekutana na watwesi lakini uku kwetu tuna makabila machache sana na tuna mamwenye kama hawajaridhika hakuna utakalofanikiwa uku.

NI MIMI
MWENYE:MATULANYA MPUTA
MBUNGE 2025 JIMBO LULINDI (MTWARA)
Email:raomary059@gmail.com
KARIBU TENA MH P.MAKONDA (Nenda kwanza gamboshi ndipo urudi uku twatumia unga tu kupuliza ujumbe waja)
Ndo maana hamuendelei, mnajisifia ujinga tu. Umwenye(umwinyi) ndo unafanya mkae kimasikini namna hiyo. Achaneni ni imani za kishirikina
 
Sasa si mngesubiri afike mumsikilize..labda kaja na majibu? Mkimzuia njiani ndio mmetatua tatizo?

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Sisi tuna akili timamu kwasababu ndio watu wa kwanza kustaarabika sasa iweje tumsikilize na kumuwekea matumaini huyo hanithi ambaye tuna mashaka hata govi hajakatwa? Wazee wa pwani wana matata mno nakumbuka utawala wa kikwete alikuja waziri mmoja anaitwa Jenister muhagama alikuja kutuliza hali fulani hivi kwa kutumia katata ya eti nae ni mtu wa kusini,kabla hajaanza kuhutubia alisimama mtu mmoja na kumuuliza kuwa tangu lini mwanamke wa kusini anasimama mbele ya wanaume wakati ana mimba tumboni? Halafu kwanini yupo uchi mbele ya wanaume? Na huyo aliemtuma kwanini kawadharau hivi kwanini asije mwenyewe mpaka awaletee mwanamke? Mama alipaniki sana na hana hamu tena
 
Sasa Kuna faida gani yahuo ujinga kama unashindwa kuwatatulia kero zenu?
 
Back
Top Bottom