Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli tu na hirizi zake aliichemka kusini alipelekewa moshi wakati anahutubiaHuko hatarudi tena. Labda wazee wamkubalie
Magufuli wakampulizia moshi akaumwaHata bibi yake mkapa alikuwa mchawi mkubwa mno na hilo lipo wazi
🤣🤣🤣🎤🔊P.Makonda kabla ya kukatisha ziara yako, nilikuambia ukija mkoa wa Mtwara uje na majibu ya bei ya korosho.
Pia ukija Mtwara uje na uwataje madalali wa korosho au wanaoua soko la korosho Mtwara, lakini ata kabla andiko langu halijamarza siku,leo wana Mtwara na Lindi kama kawaida yao wamekutumia salamu.
Sisi watu wa Mtwara tuna utamaduni wetu pamoja na watu wa Lindi machozi yetu ,ambayo yamesababishwa na chama cha Mapinduzi hayajaisha.
P.Makonda unakumbuka ule moshi ulitoka mikoa gani? P.Makonda rudi kajipange upya ndipo urudi mkoa wa Mtwara.
Umezunguka nchi nzima, umekutana na watwesi lakini uku kwetu tuna makabila machache sana na tuna mamwenye kama hawajaridhika hakuna utakalofanikiwa uku.
NI MIMI
MWENYE:MATULANYA MPUTA
MBUNGE 2025 JIMBO LULINDI (MTWARA)
Email:raomary059@gmail.com
KARIBU TENA MH P.MAKONDA (Nenda kwanza gamboshi ndipo urudi uku twatumia unga tu kupuliza ujumbe waja)
Ndo maana hamuendelei, mnajisifia ujinga tu. Umwenye(umwinyi) ndo unafanya mkae kimasikini namna hiyo. Achaneni ni imani za kishirikinaP.Makonda kabla ya kukatisha ziara yako, nilikuambia ukija mkoa wa Mtwara uje na majibu ya bei ya korosho.
Pia ukija Mtwara uje na uwataje madalali wa korosho au wanaoua soko la korosho Mtwara, lakini ata kabla andiko langu halijamarza siku,leo wana Mtwara na Lindi kama kawaida yao wamekutumia salamu.
Sisi watu wa Mtwara tuna utamaduni wetu pamoja na watu wa Lindi machozi yetu ,ambayo yamesababishwa na chama cha Mapinduzi hayajaisha.
P.Makonda unakumbuka ule moshi ulitoka mikoa gani? P.Makonda rudi kajipange upya ndipo urudi mkoa wa Mtwara.
Umezunguka nchi nzima, umekutana na watwesi lakini uku kwetu tuna makabila machache sana na tuna mamwenye kama hawajaridhika hakuna utakalofanikiwa uku.
NI MIMI
MWENYE:MATULANYA MPUTA
MBUNGE 2025 JIMBO LULINDI (MTWARA)
Email:raomary059@gmail.com
KARIBU TENA MH P.MAKONDA (Nenda kwanza gamboshi ndipo urudi uku twatumia unga tu kupuliza ujumbe waja)
Sisi tuna akili timamu kwasababu ndio watu wa kwanza kustaarabika sasa iweje tumsikilize na kumuwekea matumaini huyo hanithi ambaye tuna mashaka hata govi hajakatwa? Wazee wa pwani wana matata mno nakumbuka utawala wa kikwete alikuja waziri mmoja anaitwa Jenister muhagama alikuja kutuliza hali fulani hivi kwa kutumia katata ya eti nae ni mtu wa kusini,kabla hajaanza kuhutubia alisimama mtu mmoja na kumuuliza kuwa tangu lini mwanamke wa kusini anasimama mbele ya wanaume wakati ana mimba tumboni? Halafu kwanini yupo uchi mbele ya wanaume? Na huyo aliemtuma kwanini kawadharau hivi kwanini asije mwenyewe mpaka awaletee mwanamke? Mama alipaniki sana na hana hamu tenaSasa si mngesubiri afike mumsikilize..labda kaja na majibu? Mkimzuia njiani ndio mmetatua tatizo?
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Ati mtu anatokea bara huko hata kutawadha hajui na hata govi hajakatwa anakuja kutuletea kibesi eti nitawapiga mpaka mashangazi zako wa kusiniMagufuli wakampulizia moshi akaumwa
Kwanini msielekeze hiyo nguvu kuwashughulikia madalali wa korosho
Wame niangusha Sana ingebidi wamle kichwa kabisa
Wewe ndo hutaki labda!Nani amekuambia sisi watu wa kusini tunataka utajiri?
Mada ipi wewe kichuna? Nimeuliza nani kasema kuwa sisi wanakusini tunapenda utajiri?Wewe ndo hutaki labda!
Soma mada usijibu tu
Maendeleo yapi ambayo huku kusini hayapo ila kwenu yapo?Punguzeni uchawi muwe na maendeleo
Huyo ahmad katani bora angekufa tu huyo hana amani kabisa akifika tandahimba sasa jiulize iweje mbunge anaogopa kufika jimboni kwake?Matokeo yake walioumia kwenye ajali hiyo ni ndugu zao wa huko Tandahimba Mtwara.
Kuna mtu wa kusini kawahi kutamba?Hawana nguvu yoyote ni upuuzi tu wanaudumisha!
Wangekua wako imara kweli kama wanavyotamba basi Gas isingetoka Mtwara mpaka leo!
Hatuendelei kwenye nini? taja vilivyopo kwenu na sisi hatunaNdo maana hamuendelei, mnajisifia ujinga tu. Umwenye(umwinyi) ndo unafanya mkae kimasikini namna hiyo. Achaneni ni imani za kishirikina