Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Baba I celebrate your life nenda kipenzi changu...Africa akisimama msema kwl mmoja hupigwa mawe, walikupiga mawe mengi mzee wangu uliyakwepa why uondoke katikati ya vita, kwanini umeenda mzee? Your legacy is here wakujengee sanamu likae makumbusho kipenz changu mzee wangu...
 
Bashite atakua kajinyea, msiba atakua kakimbilia mafichoni huko serengeti
 
Magonda bado ana opportunity sababu Samia ni mshikaji wake sana.
 
Wabongo bana, hivi unadhani mama Samia atabadilisha chochote? Tegemeeni vurugu nyingi zaidi, afadhali Magu alikuwa anawadhibiti hao MATAGA, Kwa huyu mama ndio watakuja na nguvu like never before.

Kingine miradi, msitegemee kuna mradi utalala, yote hii itaendelezwa, Magufuli alikuwa mjanja sana, mwisho huyu mama ulikuwa humwambii kitu kwa Magu, utegemee tofauti? Thubutu, yaani Ikulu Dodoma isimalizwe?? Utaniambia ni muda tu..
 
Wanyang'anywe paspoti zao
Uzuri hawakubaliki popote so tunao humuhumu mpaka kiama
musiba makonda wenye nchi 'wamehamu' kuirudisha nchi kwa wenyewe
Mama Samia mahakama fumua yote tuko na mashtaka ya hawa wabunge wote kesi za uchaguzi waliokwapua pesa za walipa kodi wafilisiwe polisi ndio kabisaaaa wafunzwe adabu
Tutaanza na bashite musiba warundy muachie nchi ya wenyewe
 
Juzi Bashite alisema Watanzania wanapenda UMBEYA, kumbe si umbeya.
 
Sanamu itabomolewa trust me aliumiza wengi.
 
Nawaonea huruma hawa wafuatao
1. Covid-19
2. CCM wakuja- eg Polepole, Bashiru, Kabudi, Kitila, Ndalichako, Silinde, Waitara, etc

Maana wanaccm wenye chama chao hawatarudia kosa. Ngoja azikwe Magu kwanza.
Watagawana mbao
 
Hilo sanamu liwekwe Chattle huko...

Wengine hatuabudu masanamu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…