balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Huyu Ni pumbafu sanaNimeishia hapo uliposema kifo Cha magufuli Ni pigo kwa Afrika.Pumbavuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Ni pumbafu sanaNimeishia hapo uliposema kifo Cha magufuli Ni pigo kwa Afrika.Pumbavuuu
Daudi alishaajiandaa kisaikolojia toka aachane na ukuu wa mkoa.Daudi Bashite
..Cyprian huyu hapa.
Ajaribu ujinga wake wa kumteua huyo mtu uone naye kama hajayaaga mashindano mchana kweupe.Mama Samia si tuliambiwa wako vzr na Makonda ?
Watu walimlaani Magu kwa ushikaji wake leo hii Mama Samia ajaribu huo ujinga ndio mtashuhudia huyu Mama akayaaga mashindano mapema.Magonda bado ana opportunity sababu Samia ni mshikaji wake sana.
Uchochezi huoNimeishia hapo uliposema kifo Cha magufuli Ni pigo kwa Afrika.Pumbavuuu
Namshauri Mama Samia ( VP ) azuie upesi Passports zao kwani najua watapanga tu Kukimbia nchi na wote walikuwa wanamchonganisha Yeye na Hayati kwa Viherehere vyao na kutafuta Sifa. Pia walikuwa wakimdharau sana VP Mama Samia. TISS iwadhibiti upesi hawa akina Makonda na Musiba tafadhali.Kifo cha rais John Pombe Maguli ni pigo kubwa kwa taifa na Afrika kwa ujumla. Ni rais ambaye amejijengea sifa, maadui hata marafiki. Tanzania, bila unafiki wala kificho itamkumbuka baada ya mwanzilishi wake Mwl Julius Nyerere.
Alikuwa mkweli na muwazi ingawa maradhi yake yalizungukwa na kificho bila sababu ya msingi kana kwamba hakuwa binadamu wa kawaida. Hata hivyo, wakati tukiomboleza, kuna watu saa hizi hawamuombolezi kwa vile wanampenda bali maisha yao yatakuwa hatarini tokana na kujipendekeza kwao wakidhani wangefanikiwa kumtumia.
Ndoto ya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi pia imo mashakani. Si vizuri kuongelea urithi wakati hata marehemu hajazikwa. Hata hivyo, urais si mali binafsi, lazima tuanze kufikiri mbele.
Wakati tukifanya hivyo, kuna watu watajuta kuzaliwa na wengine hasa mafisadi waliofichwa mahabusu wanasherehekea na wale waliosaidiwa wanasaga meno. Kati ya hao Daudi Bashite aka Makonda na Msiba Musiba watakuwa na hali ngumu.
Haya ni mawazo yangu kama baba yenu.
RIP JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. YOU INDEED WAS OPEN AND TRUSTWORTHY FOR YOUR NATION AND PEOPLE.
Mwizi!!!! Haitakaa itokeeYaani mturudishe kule kule kwenye Usukuma?
Bado Ndugai na Tume ya uchaguzi.. Mungu hulipa kisasi.. Hataki dhulumaUtabiri wa Godbless Lema hakika umetimia.
Wewe ndio mpumbavu kamiliNimeishia hapo uliposema kifo Cha magufuli Ni pigo kwa Afrika.Pumbavuuu
Hata wewe pia Mungu ana kisasi nawe, utafuataBado Ndugai na Tume ya uchaguzi.. Mungu hulipa kisasi.. Hataki dhuluma
Maustadh na Maustadhat hawanaga maisha ya visasi maana wanajua kwa yakini kwamba dunia ni mapito tu. Chini ya SSH, watainjoy nchi yao sawia kabisa.Namshauri Mama Samia ( VP ) azuie upesi Passports zao kwani najua watapanga tu Kukimbia nchi na wote walikuwa wanamchonganisha Yeye na Hayati kwa Viherehere vyao na kutafuta Sifa. Pia walikuwa wakimdharau sana VP Mama Samia. TISS iwadhibiti upesi hawa akina Makonda na Musiba tafadhali.
Umesahau adui yake mkuu yupo pale katibu mkuu.. haha konda hana future bro..hata senti alizovuna zitaisha soon trust meMagonda bado ana opportunity sababu Samia ni mshikaji wake sana.
Wakati si mileleMakonda alikuwa na kiburi, alijiona yeye ni zaidi ya makamu wa Rais
Hivi subwoofer iko wapi?Nawaonea huruma hawa wafuatao
1. Covid-19
2. CCM wakuja- eg Polepole, Bashiru, Kabudi, Kitila, Ndalichako, Silinde, Waitara, etc
Maana wanaccm wenye chama chao hawatarudia kosa. Ngoja azikwe Magu kwanza.
..Cyprian huyu hapa.
Viherehere wa Yesu wa Lugola sijui wataishije tena Albert Chalamila, Alli Hapi, Lengai Ole Sabaya, Makonda, Jeri Muro, Musiba your time has come to pay.Wanyang'anywe paspoti zao