Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Magonda bado ana opportunity sababu Samia ni mshikaji wake sana.
Watu walimlaani Magu kwa ushikaji wake leo hii Mama Samia ajaribu huo ujinga ndio mtashuhudia huyu Mama akayaaga mashindano mapema.
Aachane na ushikaji na MATAGA tena kama ana akili timamu atupilie mbali hata wale wahamiaji haramu walioenda CCM kukwapua vyeo.
 
Kifo cha rais John Pombe Maguli ni pigo kubwa kwa taifa na Afrika kwa ujumla. Ni rais ambaye amejijengea sifa, maadui hata marafiki. Tanzania, bila unafiki wala kificho itamkumbuka baada ya mwanzilishi wake Mwl Julius Nyerere.

Alikuwa mkweli na muwazi ingawa maradhi yake yalizungukwa na kificho bila sababu ya msingi kana kwamba hakuwa binadamu wa kawaida. Hata hivyo, wakati tukiomboleza, kuna watu saa hizi hawamuombolezi kwa vile wanampenda bali maisha yao yatakuwa hatarini tokana na kujipendekeza kwao wakidhani wangefanikiwa kumtumia.

Ndoto ya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi pia imo mashakani. Si vizuri kuongelea urithi wakati hata marehemu hajazikwa. Hata hivyo, urais si mali binafsi, lazima tuanze kufikiri mbele.

Wakati tukifanya hivyo, kuna watu watajuta kuzaliwa na wengine hasa mafisadi waliofichwa mahabusu wanasherehekea na wale waliosaidiwa wanasaga meno. Kati ya hao Daudi Bashite aka Makonda na Msiba Musiba watakuwa na hali ngumu.

Haya ni mawazo yangu kama baba yenu.

RIP JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. YOU INDEED WAS OPEN AND TRUSTWORTHY FOR YOUR NATION AND PEOPLE.
Namshauri Mama Samia ( VP ) azuie upesi Passports zao kwani najua watapanga tu Kukimbia nchi na wote walikuwa wanamchonganisha Yeye na Hayati kwa Viherehere vyao na kutafuta Sifa. Pia walikuwa wakimdharau sana VP Mama Samia. TISS iwadhibiti upesi hawa akina Makonda na Musiba tafadhali.
 
Namshauri Mama Samia ( VP ) azuie upesi Passports zao kwani najua watapanga tu Kukimbia nchi na wote walikuwa wanamchonganisha Yeye na Hayati kwa Viherehere vyao na kutafuta Sifa. Pia walikuwa wakimdharau sana VP Mama Samia. TISS iwadhibiti upesi hawa akina Makonda na Musiba tafadhali.
Maustadh na Maustadhat hawanaga maisha ya visasi maana wanajua kwa yakini kwamba dunia ni mapito tu. Chini ya SSH, watainjoy nchi yao sawia kabisa.
 
Back
Top Bottom