Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Tumwombee mama yetu kwanza...Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ndiyo maombi yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumwombee mama yetu kwanza...Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ndiyo maombi yetu
Pole yako, huyu alikuwa akimdhihaki Mama hadharani na kutotii maagizo yake kisa tuu Jiwe?Magonda bado ana opportunity sababu Samia ni mshikaji wake sana.
Kifo cha rais John Pombe Maguli ni pigo kubwa kwa taifa na Afrika kwa ujumla. Ni rais ambaye amejijengea sifa, maadui hata marafiki. Tanzania, bila unafiki wala kificho itamkumbuka baada ya mwanzilishi wake Mwl Julius Nyerere.
Alikuwa mkweli na muwazi ingawa maradhi yake yalizungukwa na kificho bila sababu ya msingi kana kwamba hakuwa binadamu wa kawaida. Hata hivyo, wakati tukiomboleza, kuna watu saa hizi hawamuombolezi kwa vile wanampenda bali maisha yao yatakuwa hatarini tokana na kujipendekeza kwao wakidhani wangefanikiwa kumtumia.
Ndoto ya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi pia imo mashakani. Si vizuri kuongelea urithi wakati hata marehemu hajazikwa. Hata hivyo, urais si mali binafsi, lazima tuanze kufikiri mbele.
Wakati tukifanya hivyo, kuna watu watajuta kuzaliwa na wengine hasa mafisadi waliofichwa mahabusu wanasherehekea na wale waliosaidiwa wanasaga meno. Kati ya hao Daudi Bashite aka Makonda na Msiba Musiba watakuwa na hali ngumu.
Haya ni mawazo yangu kama baba yenu.
RIP JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. YOU INDEED WAS OPEN AND TRUSTWORTHY FOR YOUR NATION AND PEOPLE.
Mpumbavu wewe unayetaka mawazo yako yawe msahafu na kila mtu ayakubali.Nimeishia hapo uliposema kifo Cha magufuli Ni pigo kwa Afrika.Pumbavuuu
Covid-19 ndio kisha habari zao!Nawaonea huruma hawa wafuatao
1. Covid-19
2. CCM wakuja- eg Polepole, Bashiru, Kabudi, Kitila, Ndalichako, Silinde, Waitara, etc
Maana wanaccm wenye chama chao hawatarudia kosa. Ngoja azikwe Magu kwanza.
Kisha habari yake huyo boya?Dah.....mwanaharakati huru .....
Sio mjinga tu, bali amelaniwa!!Amtegemeaye mwanadamu ni mjinga...
Mungu anatenda kwa haki!!Yani hawa mbwa maccm wataparurana kweli kweli
Kwanza kabisa anatakiwa abadili uongozi wote, kuanzia mawaziri, na watendaji wote, aachane na walamba viatu, mapof njaa. Aondoe ule ubaguzi wa kanda. Mama naamini anajua hayoMi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali.
Possible candidates include former CAG, former Katibu mkuu kiiongozi Sefue,
Proffesor Mkenda, Mizengo Linda.
Mheshimiwa aepuke kutea makada ambao wanaweka chama mbele na sio taifa
Unaweza kuta Daudi kapewa ubalozi Burundi.
Wabongo bana,hivi unadhani mama samia atabadilisha chochote?,tegemeeni vurugu nyingi zaidi,afadhali magu alikuwa anawadhibiti hao MATAGA,Kwa huyu mama ndio watakuja na nguvu like never before
Kingine miradi ,msitegemee kuna mradi utalala,yote hii itaendelezwa,magufuli alikuwa mjanja sana,mwisho huyu mama ulikuwa humwambii kitu kwa magu,utegemee tofauti?,thubutu,yaani ikulu Dodoma isimalizwe??,utaniambia ni muda tu..
Yaani mturudishe kule kule kwenye Usukuma?Makamu wa Rais ni Mr Chenge! Mark my words
Umenikumbusha watu wasiojulikana, sijuii wataendelea kuwepo ama ndiyo wameshatengenezwaKifo cha rais John Pombe Maguli ni pigo kubwa kwa taifa na Afrika kwa ujumla. Ni rais ambaye amejijengea sifa, maadui hata marafiki. Tanzania, bila unafiki wala kificho itamkumbuka baada ya mwanzilishi wake Mwl Julius Nyerere.
Alikuwa mkweli na muwazi ingawa maradhi yake yalizungukwa na kificho bila sababu ya msingi kana kwamba hakuwa binadamu wa kawaida. Hata hivyo, wakati tukiomboleza, kuna watu saa hizi hawamuombolezi kwa vile wanampenda bali maisha yao uyatakuwa hatarini tokana na kujipendekeza kwao wakidhani wangefanikiwa kumtumia.
Ndoto ya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi pia imo mashakani. Si vizuri kuongelea urithi wakati hata marehemu hajazikwa. Hata hivyo, urais si mali binafsi, lazima tuanze kufikiri mbele.
Wakati tukifanya hivyo, kuna watu watajuta kuzaliwa na wengine hasa mafisadi waliofichwa mahabusu wanasherehekea na wale waliosaidiwa wanasaga meno. Kati ya hao Daudi Bashite aka Makonda na Msiba Musiba watakuwa na hali ngumu.
Haya ni mawazo yangu kama baba yenu.
RIP JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. YOU INDEED WAS OPEN AND TRUSTWORTHY FOR YOUR NATION AND PEOPLE.