Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Mi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali.

Possible candidates include former CAG, former Katibu mkuu kiiongozi Sefue,

Proffesor Mkenda, Mizengo Linda.

Mheshimiwa aepuke kutea makada ambao wanaweka chama mbele na sio taifa

Kwa ufupi hii ni zamu ya zenji kutesa ofisini na bila kupepesa macho nyie wa bara sasa kila asubuhi bebeni mkasi mpite mulemule kama wenzenu walivyofanya
 
Mi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali.

Possible candidates include former CAG, former Katibu mkuu kiiongozi Sefue,

Proffesor Mkenda, Mizengo Linda.

Mheshimiwa aepuke kutea makada ambao wanaweka chama mbele na sio taifa
mizengo Pinda, wapigwe tu hahahahahha
 
Makonda anaweza kupata nafasi nyingine unlike Musiba kwa kuwa mama amemsemea vizuri na kuonyesha moyo wa shukrani kwake akiwa kwenye bunge la Katiba.

Japo kwa kweli katika uongozi wake Makonda aliendekeza ubabe, chuki, fitina, uzandiki, majivuno, kujikweza, kutaka kiti Cha juu kupita vimo vya mawinguni na kufanana na aliye juu.

Mama si mtu wa hivyo.

Akiyaacha hayo aweza kuwa kiongozi mzuri na wa mfano mwema.

Musiba asihangaike, kazi yake imeishia hapo.

Yan hao wasukuma wote wasipewe nafasi sbabu n washamba wa madaraka wakachunge Ng'ombe
 
Jiulize Bashite alipenyaje hadi akafikia kwenye pick ilihali elimu yake ni ya kuunga unga? Nina hakika BAshite shuleni hakua mzuri sana but kichwani anajua sana kucheza na fursa, tusubiri tuone. Msiba sijui
 
Mama Samia si tuliambiwa wako vzr na Makonda?
Mkuu wapo kama jina lako lilivyo!! Ila tuachane na hilo, nampenda sana uyo jamaa uliemueka kwenye profile picture!!
Napenda siasa zake,jamaa aliendesha li Nchi likubwa akiwa bwana mdogo sana, licha ya changamoto ya umri, kinachonipa hamu ya kufahamu mengi, aliwezaje kuendesha Nchi ile kwa umri ule na ukatulia?!! Nina hamu ya kujua mengi, heshima kwake.
 
makonda alidhulumu na kuwaonea watu wengi sana, dhambi hii aliifanya kwa vitisho na ubabe mkubwa sana. Tuatarajie wale wote waliofanyiwa dhambi hii wakiinuka na kutaka/kudai haki zao.
musiba (domo kaya) alitumika kuchafua watu wengi sana na kuonyesha dharau na kebehi kubwa, ni wakati sasa nae kuwa ktk kipindi cha malipizi na moto mkali hadi atamani ardhi ipasuke immeze.
 
Mi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali.

Possible candidates include former CAG, former Katibu mkuu kiiongozi Sefue,

Proffesor Mkenda, Mizengo Linda.

Mheshimiwa aepuke kutea makada ambao wanaweka chama mbele na sio taifa
Umenena vyema sana 😀
 
Kifo cha rais John Pombe Maguli ni pigo kubwa kwa taifa na Afrika kwa ujumla. Ni rais ambaye amejijengea sifa, maadui hata marafiki. Tanzania, bila unafiki wala kificho itamkumbuka baada ya mwanzilishi wake Mwl Julius Nyerere.

Alikuwa mkweli na muwazi ingawa maradhi yake yalizungukwa na kificho bila sababu ya msingi kana kwamba hakuwa binadamu wa kawaida. Hata hivyo, wakati tukiomboleza, kuna watu saa hizi hawamuombolezi kwa vile wanampenda bali maisha yao yatakuwa hatarini tokana na kujipendekeza kwao wakidhani wangefanikiwa kumtumia.

Ndoto ya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi pia imo mashakani. Si vizuri kuongelea urithi wakati hata marehemu hajazikwa. Hata hivyo, urais si mali binafsi, lazima tuanze kufikiri mbele.

Wakati tukifanya hivyo, kuna watu watajuta kuzaliwa na wengine hasa mafisadi waliofichwa mahabusu wanasherehekea na wale waliosaidiwa wanasaga meno. Kati ya hao Daudi Bashite aka Makonda na Msiba Musiba watakuwa na hali ngumu.

Haya ni mawazo yangu kama baba yenu.

RIP JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. YOU INDEED WERE OPEN AND TRUSTWORTHY FOR YOUR NATION AND PEOPLE.
Waliomwegemea wanaweza wasiguswe lakini hawataweza kugusa walichozoea kugusa. Watazikana nafsi zao bila kukanwa
 
Mi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali.

Possible candidates include former CAG, former Katibu mkuu kiiongozi Sefue,

Proffesor Mkenda, Mizengo Linda.

Mheshimiwa aepuke kutea makada ambao wanaweka chama mbele na sio taifa
Asiogope kutekeleza kile anachoamini ni sahihi adiogope lawama za masalia. Ayaponye majeraha yote bila woga.
 
Mkuu wapo kama jina lako lilivyo!! Ila tuachane na hilo, nampenda sana uyo jamaa uliemueka kwenye profile picture!!
Napenda siasa zake,jamaa aliendesha li Nchi likubwa akiwa bwana mdogo sana, licha ya changamoto ya umri, kinachonipa hamu ya kufahamu mengi, aliwezaje kuendesha Nchi ile kwa umri ule na ukatulia?!! Nina hamu ya kujua mengi, heshima kwake.
Kwahio uliona ameweza kutuliza nchi kipindi chake sio?

Kweli kila mtu ana akili zake.
 
Back
Top Bottom