wakuja town
JF-Expert Member
- Oct 26, 2020
- 898
- 1,343
Sijui ata wamepotelea wapi mkuu, wanachungulia na kukimbia, shoka moja mmbuyu chini kwishneiiii, aaaaaacheni niwakerrrrrrrrrrrrrre.Wapooo wanakusikia [emoji23][emoji23] kayafa kwisha habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui ata wamepotelea wapi mkuu, wanachungulia na kukimbia, shoka moja mmbuyu chini kwishneiiii, aaaaaacheni niwakerrrrrrrrrrrrrre.Wapooo wanakusikia [emoji23][emoji23] kayafa kwisha habari
We nani anataka aalibiwe CV yake, pale control yote inarudi msoga.Makonda vinaiva sana na rais mpya.
Kwa hio tutegemee kuwa disappointed anytime
Kwakwel wasukuma tena hapana. Waendelee na mifugo tuYan hao wasukuma wote wasipewe nafasi sbabu n washamba wa madaraka wakachunge Ng'ombe
Na akitaka CCM wampe ushirikiano mzuri na wasiwe na vinyongo naye hao wote uliowataja hapo juu awafyekelee mbali,kuna watu wazuri tu ndani ya CCM,na Covid XlX waondolewe bungeni hawana sifa.Nawaonea huruma hawa wafuatao
1. Covid-19
2. CCM wakuja- eg Polepole, Bashiru, Kabudi, Kitila, Ndalichako, Silinde, Waitara, etc
Maana wanaccm wenye chama chao hawatarudia kosa. Ngoja azikwe Magu kwanza.
Wajinga zaidi ni wale walioanza kudharau vyama vyao vilivyowafanya wafahamike wakitegemea kubebwa milele na binadamu kama wao.Amtegemeaye mwanadamu ni mjinga...
Kama kweli alikuwa mwanaharakati huru tutaona akiendelea, Vinginevyo atakuwa anamtia madoa marehemuDaah! Kwanza huyo Musiba ataaibika sana
Huyo na magazeti yake wanafilisikaKama kweli alikuwa mwanaharakati huru tutaona akiendelea, Vinginevyo atakuwa anamtia madoa marehemu
Ahsante Mkuu ,huyo jamaa kaishaelezewa sana,nami nishamuelezea sana ,kifupi ni MTU namkubali, ahsante tenaMkuu wapo kama jina lako lilivyo!! Ila tuachane na hilo, nampenda sana uyo jamaa uliemueka kwenye profile picture!!
Napenda siasa zake,jamaa aliendesha li Nchi likubwa akiwa bwana mdogo sana, licha ya changamoto ya umri, kinachonipa hamu ya kufahamu mengi, aliwezaje kuendesha Nchi ile kwa umri ule na ukatulia?!! Nina hamu ya kujua mengi, heshima kwake.
mungu wao ameenda
Oppprtunist ni watu wabaya sana. Wanapenya mpaka unashangaa. At the cost of whom??Jiulize Bashite alipenyaje hadi akafikia kwenye pick ilihali elimu yake ni ya kuunga unga? Nina hakika BAshite shuleni hakua mzuri sana but kichwani anajua sana kucheza na fursa, tusubiri tuone. Msiba sijui
Tayari yameanza kumfika Musiba.