Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Nawaonea huruma hawa wafuatao
1. Covid-19
2. CCM wakuja- eg Polepole, Bashiru, Kabudi, Kitila, Ndalichako, Silinde, Waitara, etc

Maana wanaccm wenye chama chao hawatarudia kosa. Ngoja azikwe Magu kwanza.
Na akitaka CCM wampe ushirikiano mzuri na wasiwe na vinyongo naye hao wote uliowataja hapo juu awafyekelee mbali,kuna watu wazuri tu ndani ya CCM,na Covid XlX waondolewe bungeni hawana sifa.
 
Mkuu wapo kama jina lako lilivyo!! Ila tuachane na hilo, nampenda sana uyo jamaa uliemueka kwenye profile picture!!
Napenda siasa zake,jamaa aliendesha li Nchi likubwa akiwa bwana mdogo sana, licha ya changamoto ya umri, kinachonipa hamu ya kufahamu mengi, aliwezaje kuendesha Nchi ile kwa umri ule na ukatulia?!! Nina hamu ya kujua mengi, heshima kwake.
Ahsante Mkuu ,huyo jamaa kaishaelezewa sana,nami nishamuelezea sana ,kifupi ni MTU namkubali, ahsante tena
 
Jiulize Bashite alipenyaje hadi akafikia kwenye pick ilihali elimu yake ni ya kuunga unga? Nina hakika BAshite shuleni hakua mzuri sana but kichwani anajua sana kucheza na fursa, tusubiri tuone. Msiba sijui
Oppprtunist ni watu wabaya sana. Wanapenya mpaka unashangaa. At the cost of whom??
 
Msiba kijana yule. Ni mjanja wewe!!! Yule mjita bana mwenye asili ya ukara??yule!! Thubutu!! Kwanza

Ana uraia pacha chini ya kapeti soon mtamuona ni Msotho!! Kutoka kureeee!! kingdom of Lesotho

akija humu Tz ni foreigner wa kutupwa hapo hata kiswahili hajui tena ana wachora tu.Nke na watoto wake waKo huko kitambo !!mnajisumbua.

Mtasugua sana...tena anachomokea safari yake kutokea kitongoji cha 'kamageta -tarime mpakani. Haya na huyu...

Bashite ni mchawi wa nchi kwa asili Tena aliwahi ishi kabla! via incarnation akawa hivo alivo na hili anajua hivo.

Anajua atakuwa salama tu atakavyo nakuhakikishia TZ hii hkn wa kumgusa!!!. ni mjukuu wa mwana Marundi Kwa asili. Jiwe alijua.

yule sasa Wewe mseme uone km hujageuka fisipori jike na upigwe miti weee!! na mafisi pori mpaka ukome. Ndo utajua Duniani kuna sarakasi!!

Ebu fikiria wewe mtu mzima rijali utaanzaje kusimulia hii!! eti ... Usiku kucha wa jana Nimepigwa miti na mafisi !!weeee!!yananigombea!! Sasa ukweli nyaa yangu! Inauma!!!mweee!!

watu watajua huyu!! kachanganyikiwa huyu!!! Km hujapelekwa milembe unitag??..... Yeye kimya.

Mama anajua makonda ni Miongoni mwa wachawi wa nchi. Hili Sometimes Jiwe alidharau richa ya kuonywa badae si unaona yamemkuta. Unadhani kwa nini makonda alikaa pembeni??

Soon!! jiwe kapatwa na dhahama? Mwanzoni makonda alimsaidia sana jiwe!! Aka kaa sawa ikulu pale!!

Make ikulu kulikuwa hakukaliki mauzauza tupu!! Makonda kaingilia kati akasawazisha.
Sasa mmnyee Makonda mfe nchi haitakaa salama!!
 
Tayari yameanza kumfika Musiba.
IMG-20210812-WA0028.jpg
 
Back
Top Bottom