Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Arusha sasa watapangiwa hadi ratiba ya tendo la ndoa, ili familia waongeze muda wa utaftaji pesaWakuu
Mkuu wa Mkuo wa Arusha amegiza tarehe 24 kila nyumba ifanye kikao cha familia, ajenda iwe moja tu kwamba; "Tumekuli kuendelea hivi mpaka mwaka mpya (2025) unapoingia? Au tunataka mabadiliko"
Huu ndio Muongozo wa Rc Makonda kwa Wananchi wa Mkoa wa Arusha.
View attachment 3173048
Hallucinations...!!!!Wakuu
Mkuu wa Mkuo wa Arusha amegiza tarehe 24 kila nyumba ifanye kikao cha familia, ajenda iwe moja tu kwamba; "Tumekuli kuendelea hivi mpaka mwaka mpya (2025) unapoingia? Au tunataka mabadiliko"
Huu ndio Muongozo wa Rc Makonda kwa Wananchi wa Mkoa wa Arusha.
View attachment 3173048
Nimependa sana hii speech ya Makonda maana mpaka hivi sasa atakuwa ameshakaliwa vikao vichache na atafuatiliwa mpaka rangi ya poop kila ahsubuhi itatolewa taarifa.Wakuu
Mkuu wa Mkuo wa Arusha amegiza tarehe 24 kila nyumba ifanye kikao cha familia, ajenda iwe moja tu kwamba; "Tumekuli kuendelea hivi mpaka mwaka mpya (2025) unapoingia? Au tunataka mabadiliko"
Huu ndio Muongozo wa Rc Makonda kwa Wananchi wa Mkoa wa Arusha.
View attachment 3173048
Might be, but what is doing could turn to be hellucinogic drung to ChugansHallucinations...!!!!