Makonda ni muovu. Kama siyo muovu kwanini hajaenda Mahakamani kuwashitaki Lissu, Haji Manara, Clouds Media na Serikali ya Marekani?

Makonda ni muovu. Kama siyo muovu kwanini hajaenda Mahakamani kuwashitaki Lissu, Haji Manara, Clouds Media na Serikali ya Marekani?

Jibu hoja, kama wewe ndiye .Makonda ama kimada wake
Sexless Ni lini utampeleka makonda mahakamani?

Maana naona unachuki na hasira naye isiyoisha, kile siku ni nyuzi za makonda juu ya malalamiko tu yasiyo na msingi

Yaani unataka mtu aliyekunyang'anya kipande cha aridhi ndo awe wakwanza kukupeleka mahakani siyo?

Unataka kusema, anayekuibia mkeo ndo akupeleke mahakamani?? Jinga kabisa wewe!

Zimo au kichwa chako ni cha kubebea nywele na ubongo uliooza?
 
Makonda hata ajifarague na kujinaragua vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.

Niliyowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.

Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.

Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.


Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
Kabla hujafanya jambo unafikiria mambo mengi. Ikiwemo muda, athari, matokeo na sababu za kulifanya.

Kama ya kale yamepita, rais ametaka tukubaliane kuanza upya na akakuteua kudhihirisha huna shida na mtu tena kuna haja gani kwenda mahakamani?
 
Makonda hata ajifarague na kujinaragua vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.

Niliyowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.

Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.

Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.


Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
KAMA NI MUOVU KWA NINI HAO WASIENDE KUMSHTAKI MAHAKAMANI? MIMI ZAMANI NILIKUWA NAAMINI NI MUOVU BAAADAYE NIKAWA NAJIULIZA MBONA HASHTAKIWI???????????????? HAWA WATU WANASEMA ALIWAKOSEA MBONA HAWAMSHTAKI????????????????????? SIJAPATA MAJIBU MPAKA SASA
 
Makonda hata ajifarague na kujinaragua vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.

Niliyowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.

Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.

Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.


Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
Makonda hawezi kumshtaki yeyote wala kukanusha maana kufanya hivyo itakuwa ni kuanika ushetani wake wote ujulikane kwa wote, hata kwa wale ambao walikuwa hawajui.
 
wewe ni mjinga sana akili yako imejaa funza makonda ni mtu mhimu Sana katika Taifa hili hana muda wa kujibu hoja za kijinga na pia kujibizana na wapumbavu muda huo hana kabisa yuko busy kulijenga Taifa la Tanzania thamani yake ni kubwa hawezi kujishushia heshima kujibizana na kikundi cha wajinga wanaotumwa na wachaga wenye wivu na wenza

IQ Ya Makonda ni kubwa kuliko viongozi wote wa Chadema ni ukweli usiopingika kwamba makonda ni Kijana ambaye tunasubiria muda tu tumpe Urais wa nchi kwa ajili ya kufanya Makubwa kwa nchi kuliko kujibizana na wajinga wajinga wenye akili mbwebweto kama wewe
Una rekodi ya kusoma kwake chuo cha ushirika?
 
Sexless Ni lini utampeleka makonda mahakamani?

Maana naona unachuki na hasira naye isiyoisha, kile siku ni nyuzi za makonda juu ya malalamiko tu yasiyo na msingi

Yaani unataka mtu aliyekunyang'anya kipande cha aridhi ndo awe wakwanza kukupeleka mahakani siyo?

Unataka kusema, anayekuibia mkeo ndo akupeleke mahakamani?? Jinga kabisa wewe!

Zimo au kichwa chako ni cha kubebea nywele na ubongo uliooza?
Unaufahamu ukuu na heshima ya serikali ya Marekani duniani? Sasa unaifananishaje hii serikali kubwa kabisa duniani na tumbili Makonda? Hii pilitoni tumbili) ndiyo iende mahakamani
 
Makonda hawezi kumshtaki yeyote wala kukanusha maana kufanya hivyo itakuwa ni kuanika ushetani wake wote ujulikane kwa wote, hata kwa wale ambao walikuwa hawajui.
Sawa kabisa mkuu. Ndiyo maana anaishia kulialia tu makanisani na misikitini
 
wewe ni mjinga sana akili yako imejaa funza makonda ni mtu mhimu Sana katika Taifa hili hana muda wa kujibu hoja za kijinga na pia kujibizana na wapumbavu muda huo hana kabisa yuko busy kulijenga Taifa la Tanzania thamani yake ni kubwa hawezi kujishushia heshima kujibizana na kikundi cha wajinga wanaotumwa na wachaga wenye wivu na wenza

IQ Ya Makonda ni kubwa kuliko viongozi wote wa Chadema ni ukweli usiopingika kwamba makonda ni Kijana ambaye tunasubiria muda tu tumpe Urais wa nchi kwa ajili ya kufanya Makubwa kwa nchi kuliko kujibizana na wajinga wajinga wenye akili mbwebweto kama wewe
Mtu wa kufeli hata mtihani wa kidato cha 4, eti naye ana high IQ. Makonda kwa vyovyote vile, IQ yake ni below average. Kipimo cha kwanza cha IQ ni uwezo wa kufundishika. Na sote tunajua kuwa Makonda ni dull, hafundishiki.
 
Mtu wa kufeli hata mtihani wa kidato cha 4, eti naye ana high IQ. Makonda kwa vyovyote vile, IQ yake ni below average. Kipimo cha kwanza cha IQ ni uwezo wa kufundishika. Na sote tunajua kuwa Makonda ni dull, hafundishiki.
Aliyexfeli ni Lema, Sugu, Mnyika, Mbowe na Msigwa hawa woote ni vilaza FC
 
Back
Top Bottom