Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Mbowe zee Zima likataka kuiangamiza Dar kwa kulipua vituo vya Sheli majinga fulani yanalishabikia nyambaaf nyieUzuri uovu wa Makonda aliufanya hadharani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe zee Zima likataka kuiangamiza Dar kwa kulipua vituo vya Sheli majinga fulani yanalishabikia nyambaaf nyieUzuri uovu wa Makonda aliufanya hadharani
Kwahiyo sio haki kuonekana, Bali ni kubalance shobo?Kwaiyo hata pale chadema mnaposhinda baadhi ya kesi huwa ni maagizo kutoka kwa watawala?
Nani anajitambua nyie ni matapeli tu ya mjiniKila anayejitambua ni mchaga?
Asante nyie majizi ya kijijini.Nani anajitambua nyie ni matapeli tu ya mjini
Wachaga pambaneni kihalali saa hizi mambo magumuAsante nyie majizi ya kijijini.
Tuambie wewe ni kimada ama ndiye Makonda mwenyewe?wewe ni drancunculus Hippocampus schizophrenic with altered mental status
Sexless Ni lini utampeleka makonda mahakamani?Jibu hoja, kama wewe ndiye .Makonda ama kimada wake
Mkuu acha kupoteza muda kujibizana na mjingaKwahiyo sio haki kuonekana, Bali ni kubalance shobo?
Kabla hujafanya jambo unafikiria mambo mengi. Ikiwemo muda, athari, matokeo na sababu za kulifanya.Makonda hata ajifarague na kujinaragua vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.
Niliyowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.
Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.
Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.
Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.
Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.
Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
KAMA NI MUOVU KWA NINI HAO WASIENDE KUMSHTAKI MAHAKAMANI? MIMI ZAMANI NILIKUWA NAAMINI NI MUOVU BAAADAYE NIKAWA NAJIULIZA MBONA HASHTAKIWI???????????????? HAWA WATU WANASEMA ALIWAKOSEA MBONA HAWAMSHTAKI????????????????????? SIJAPATA MAJIBU MPAKA SASAMakonda hata ajifarague na kujinaragua vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.
Niliyowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.
Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.
Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.
Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.
Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.
Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
ATASHTAKI WANGAPI? MTI WENYE MATUNDA NDO HURUSHIWA MAWEKwann isiwe yeye anayechafuliwa?
Makonda hawezi kumshtaki yeyote wala kukanusha maana kufanya hivyo itakuwa ni kuanika ushetani wake wote ujulikane kwa wote, hata kwa wale ambao walikuwa hawajui.Makonda hata ajifarague na kujinaragua vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.
Niliyowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.
Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.
Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.
Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.
Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.
Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
Una rekodi ya kusoma kwake chuo cha ushirika?wewe ni mjinga sana akili yako imejaa funza makonda ni mtu mhimu Sana katika Taifa hili hana muda wa kujibu hoja za kijinga na pia kujibizana na wapumbavu muda huo hana kabisa yuko busy kulijenga Taifa la Tanzania thamani yake ni kubwa hawezi kujishushia heshima kujibizana na kikundi cha wajinga wanaotumwa na wachaga wenye wivu na wenza
IQ Ya Makonda ni kubwa kuliko viongozi wote wa Chadema ni ukweli usiopingika kwamba makonda ni Kijana ambaye tunasubiria muda tu tumpe Urais wa nchi kwa ajili ya kufanya Makubwa kwa nchi kuliko kujibizana na wajinga wajinga wenye akili mbwebweto kama wewe
Unaufahamu ukuu na heshima ya serikali ya Marekani duniani? Sasa unaifananishaje hii serikali kubwa kabisa duniani na tumbili Makonda? Hii pilitoni tumbili) ndiyo iende mahakamaniSexless Ni lini utampeleka makonda mahakamani?
Maana naona unachuki na hasira naye isiyoisha, kile siku ni nyuzi za makonda juu ya malalamiko tu yasiyo na msingi
Yaani unataka mtu aliyekunyang'anya kipande cha aridhi ndo awe wakwanza kukupeleka mahakani siyo?
Unataka kusema, anayekuibia mkeo ndo akupeleke mahakamani?? Jinga kabisa wewe!
Zimo au kichwa chako ni cha kubebea nywele na ubongo uliooza?
Sawa kabisa mkuu. Ndiyo maana anaishia kulialia tu makanisani na misikitiniMakonda hawezi kumshtaki yeyote wala kukanusha maana kufanya hivyo itakuwa ni kuanika ushetani wake wote ujulikane kwa wote, hata kwa wale ambao walikuwa hawajui.
Mtu wa kufeli hata mtihani wa kidato cha 4, eti naye ana high IQ. Makonda kwa vyovyote vile, IQ yake ni below average. Kipimo cha kwanza cha IQ ni uwezo wa kufundishika. Na sote tunajua kuwa Makonda ni dull, hafundishiki.wewe ni mjinga sana akili yako imejaa funza makonda ni mtu mhimu Sana katika Taifa hili hana muda wa kujibu hoja za kijinga na pia kujibizana na wapumbavu muda huo hana kabisa yuko busy kulijenga Taifa la Tanzania thamani yake ni kubwa hawezi kujishushia heshima kujibizana na kikundi cha wajinga wanaotumwa na wachaga wenye wivu na wenza
IQ Ya Makonda ni kubwa kuliko viongozi wote wa Chadema ni ukweli usiopingika kwamba makonda ni Kijana ambaye tunasubiria muda tu tumpe Urais wa nchi kwa ajili ya kufanya Makubwa kwa nchi kuliko kujibizana na wajinga wajinga wenye akili mbwebweto kama wewe
Katika mafisadi ya nchi hii, wachagga ni wepi? Walifisadi kwenye miradi/idara zipi? Richmond, epa, migodiya kiwira, geshi, bandari, halmashauri au wapi?nyie wachaga acheni ujinga wenu tulishawajua na kakikundi kenu majizi nyie nyambaaaf
Kwa jinsi ambavyo hukosekanagi katika nyuzi za aina hii ili umtetee bashite basi bila shaka wewe ndiye daud Albert bashite
ni mengi yamejificha ni masterminded corrupt yamefilisi NBC yakiongozaa na MengiKatika mafisadi ya nchi hii, wachagga ni wepi? Walifisadi kwenye miradi/idara zipi? Richmond, epa, migodiya kiwira, geshi, bandari, halmashauri au wapi?
Aliyexfeli ni Lema, Sugu, Mnyika, Mbowe na Msigwa hawa woote ni vilaza FCMtu wa kufeli hata mtihani wa kidato cha 4, eti naye ana high IQ. Makonda kwa vyovyote vile, IQ yake ni below average. Kipimo cha kwanza cha IQ ni uwezo wa kufundishika. Na sote tunajua kuwa Makonda ni dull, hafundishiki.