Makonda, nilimwomba Mungu sana kwa ajili yako, ahsante Mungu umesikia

Makonda, nilimwomba Mungu sana kwa ajili yako, ahsante Mungu umesikia

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
866
Reaction score
625
Mungu umejibu maombi, mtumishi wake Makonda umemkumbuka tena, Katika tumbo la samaki alimokuwa umetoka na maono na upako Mpya kuna kitu ndani yake kwa ajili ya wa Tanzania naamini muda uliompa kujitafakari anarudi na upako Mpya kuleta matumaini kwa wanaCCM wengi ambao walikuwa wamekunjana mioyo.

Rais Samia hongera sana, kuna wakati mama anaweza kumwadhibu mtoto wakati huohuo moyo unauma na huo ndio uzazi big up.
 
Maombi? Au lilikuwa suala la muda tu
IMG-20231022-WA0003.jpg
 
Chawa wanatisha ukitumbuliwa wanampongeza aliyekutumbua na ukiteuliwa wanakupongeza ilimradi wapate ugali tu
 
yani chadema itapelekwa mchakamchaka hadiitoe ushuzi walah

Wewe unawaza CHADEMA tu?. Ataipeleka puta kivipi?. Alikuwepo akaiacha na ameikuta na ataiacha. Yule atakuwa ana nguvu huko CCM tu kwenu mlikojaa chawa wa kila aina.
 
Back
Top Bottom