Maombi? Au lilikuwa suala la muda tuView attachment 2789558
Duuh basi sawaMkuu whoever comes out of your mom's bedroom is your dad!
nchi ina wapumbavu wengi kweli hii, yaani ulipoteza muda kumwombea mtu ambaye tundu lisu hadi kesho anamtuhumu kumpiga risasi? alikufanyia nini hasaMungu umejibu maombi, mtumishi wake Makonda umemkumbuka tena, Katika tumbo la samaki alimokuwa umetoka na maono na upako Mpya kuna kitu ndani yake kwa ajili ya wa Tanzania naamini muda uliompa kujitafakari anarudi na upako Mpya kuleta matumaini kwa wanaCCM wengi ambao walikuwa wamekunjana mioyo.
Rais Samia hongera sana, kuna wakati mama anaweza kumwadhibu mtoto wakati huohuo moyo unauma na huo ndio uzazi big up.