Makonda piga kazi baba usisikilize kelele za wabaya wanaokuteta mitandaoni

Makonda piga kazi baba usisikilize kelele za wabaya wanaokuteta mitandaoni

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Mh Makonda piga kazi baba usisikilize kelele za mafisadi wanaokuteta mitandaoni kumbuka kuwa binadamu hata umfanyie jema atakupaka mavi

Ni hivi karibuni umeanza harakati za kuwafuata Wananchi na kusikiliza keo zao ikiwemo kutatua lakini mitandaoni humu tunaona watu wakijadili misafara yako kwakudai unaingiza hasara ya mafuta

Hawana akili ya kutambua kuwa kwa kazi zako unazofanya hushindwi kununua lita 5000 za pertol ya hayo magari, uelewa wao ni mdogo na wengi hawajasoma wala hawajafanikiwa kufahamu namna gani maisha ni rahisi kwa mtu anayefanya kazi kwa bidii

Ugumu wa maisha yao unawatuma kukuteta kwa mabaya ambayo wewe huna, baba piga kazi ukichoka waache ili viongozi wasiokuwa waadilifu waendelee kuwanyanyasa watakaoteseka ni wao
 
Ndiyo maana bi mkubwa wako alipata wasiwasi kwa sababu anajua una roho ya kichawi usije ukamtoa kafara bure.
Hakuna jambo zuri kama kusingiziwa mana yule anayekusingizia yeye ndiye anayekuwa kichaa kati yenu
 
Hakuna jambo zuri kama kusingiziwa mana yule anayekusingizia yeye ndiye anayekuwa kichaa kati yenu
Nilijua bi mkubwa ana wasiwasi wa bure lakini kwa uzi huu naamini alikuwa sahihi.
 
Nilijua bi mkubwa ana wasiwasi wa bure lakini kwa uzi huu naamini alikuwa sahihi.
Kuna ile mtu unafanyiwa ubaya inafika mahali unasema inatosha na hapo unabadilika kabisa kama ni sindano hutasikia tena maumivu yake hapa ndipo nilipofikia
 
Ukishaona mwanaume mzima unamuita mwanaume mwenzako asiye baba yako kuwa ni baba, hapo tayari kuna tatizo.
Tena ukute huyo unayemuita hivyo hajafikia umri wa kuwa baba yako, hapo kuna kuwa ni tatizo kubwa zaidi
 
Hakuna wa kumzuia makonda kutimiza majukumu yake,ila ni haki yetu kuwa na mashaka naye sana sana, hasa tukizingatia tuhuma za mauaji (kunyima watu haki ya kuishi) mtu muuaji ni mtu hatari sana kujihusisha naye.
 
Mh Makonda piga kazi baba usisikilize kelele za mafisadi wanaokuteta mitandaoni kumbuka kuwa binadamu hata umfanyie jema atakupaka mavi

Ni hivi karibuni umeanza harakati za kuwafuata Wananchi na kusikiliza keo zao ikiwemo kutatua lakini mitandaoni humu tunaona watu wakijadili misafara yako kwakudai unaingiza hasara ya mafuta
Hawana akili ya kutambua kuwa kwa kazi zako unazofanya hushindwi kununua lita 5000 za pertol ya hayo magari, uelewa wao ni mdogo na wengi hawajasoma wala hawajafanikiwa kufahamu namna gani maisha ni rahisi kwa mtu anayefanya kazi kwa bidii

Ugumu wa maisha yao unawatuma kukuteta kwa mabaya ambayo wewe huna, baba piga kazi ukichoka waache ili viongozi wasiokuwa waadilifu waendelee kuwanyanyasa watakaoteseka ni wao
Makonda alishapakwa siku nyingi hashafishiki kimpiga Mzee Warioba kumzalilisha Mzee Lowassa n.k ni mavi tosha.
 
Mh Makonda piga kazi baba usisikilize kelele za mafisadi wanaokuteta mitandaoni kumbuka kuwa binadamu hata umfanyie jema atakupaka mavi

Ni hivi karibuni umeanza harakati za kuwafuata Wananchi na kusikiliza keo zao ikiwemo kutatua lakini mitandaoni humu tunaona watu wakijadili misafara yako kwakudai unaingiza hasara ya mafuta
Hawana akili ya kutambua kuwa kwa kazi zako unazofanya hushindwi kununua lita 5000 za pertol ya hayo magari, uelewa wao ni mdogo na wengi hawajasoma wala hawajafanikiwa kufahamu namna gani maisha ni rahisi kwa mtu anayefanya kazi kwa bidii

Ugumu wa maisha yao unawatuma kukuteta kwa mabaya ambayo wewe huna, baba piga kazi ukichoka waache ili viongozi wasiokuwa waadilifu waendelee kuwanyanyasa watakaoteseka ni wao
Kwanza vyeti vya Elimu alisha vipeleka kunakotakiwa?

Sent from my Pixel 6 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna wa kumzuia makonda kutimiza majukumu yake,ila ni haki yetu kuwa na mashaka naye sana sana, hasa tukizingatia tuhuma za mauaji (kunyima watu haki ya kuishi) mtu muuaji ni mtu hatari sana kujihusisha naye.
Nasikia anasakwa sana kwa mzee wetu Bidden

Sent from my Pixel 6 using JamiiForums mobile app
 
Ukishaona mwanaume mzima unamuita mwanaume mwenzako asiye baba yako kuwa ni baba, hapo tayari kuna tatizo.
Tena ukute huyo unayemuita hivyo hajafikia umri wa kuwa baba yako, hapo kuna kuwa ni tatizo kubwa zaidi
Kwa mujibu wa tafiti nyingi ni kwamba watanzania wengi wetu ni vichaa hivyo huyo mleta uzi tayari ni kichaa

Sent from my Pixel 6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna ile mtu unafanyiwa ubaya inafika mahali unasema inatosha na hapo unabadilika kabisa kama ni sindano hutasikia tena maumivu yake hapa ndipo nilipofikia
Watanzania wengi wenye mapenzi na nchi yao hakuna mwenye Imani na Makonda

Sent from my Pixel 6 using JamiiForums mobile app
 
Mh Makonda piga kazi baba usisikilize kelele za mafisadi wanaokuteta mitandaoni kumbuka kuwa binadamu hata umfanyie jema atakupaka mavi

Ni hivi karibuni umeanza harakati za kuwafuata Wananchi na kusikiliza keo zao ikiwemo kutatua lakini mitandaoni humu tunaona watu wakijadili misafara yako kwakudai unaingiza hasara ya mafuta
Hawana akili ya kutambua kuwa kwa kazi zako unazofanya hushindwi kununua lita 5000 za pertol ya hayo magari, uelewa wao ni mdogo na wengi hawajasoma wala hawajafanikiwa kufahamu namna gani maisha ni rahisi kwa mtu anayefanya kazi kwa bidii

Ugumu wa maisha yao unawatuma kukuteta kwa mabaya ambayo wewe huna, baba piga kazi ukichoka waache ili viongozi wasiokuwa waadilifu waendelee kuwanyanyasa watakaoteseka ni wao
Makonda alimpiga mzee wetu,Leo hii dhambi lazima zimtafune

Sent from my Pixel 6 using JamiiForums mobile app
 
Mavi yenyewe ndio haya!!


Chawa juu ya chawa.



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom