Makonda: Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi. Viongozi wa Dini mniombee!

Sasa yeye anaita wenzake chura,. Akiitwa yeye atasema anatukanwa. Bashite hovyo kabisa.
 
Msamiati mpya..
KAMATI KUU YA CCM NI VYURA ISIPOKUWA RAIS?

MATUSI YA MAKONDA YATAJIBIWA
 
Serikali ya Marekani ilikurupuka kumwekea zuio la kuingia US kwa sababu ya rekodi yake ya kuvunja Haki za Binadamu?

Nielimishe
US haina moral authority ya kukemea masuala ya uvunjaji haki za binadamu!!!
 
Makonda anarudisha imani ya chama kwa wananchi kwa mtindo wa kusikiliza kero za wananch. ' BIG UP MAKONDA'

Anasikiliza kero kwa cheo gani?. Ila Tanzania tunajiendea Kwenye kata Kuna afisa elimu, afisa Afya , afisa mazingira etc, lakini unamsubiria Katibu Mwenezi aje asikilize kero za wananchi. Tupo nyuma Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…