Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo miaka 4 huko nje alikaa tu kwa kupenda? Si alikwenda baada ya yeye kuongoza GENGE la wasiojulikana na kumchapa zile mvua za risasi mchana kweupe, mwambie bashite asijaribu kutonesha vidonda. HATUJASAHAULeo alipokuwa anatoka kanisani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alifanya mahojiano na channel ya mtandaoni inayoitwa Sauti za watu maarufu na kuulizwa anaona "Je ni kweli Lissu anaweza kuwa rais 2020?"
Makonda: Hawa wanarukaruka tu, CHADEMA bado sana kuchukua nchi, rais wa kwanza kama yupo basi atakuwa darasa la tatu au la nne anajiandaa na mtihani wa taifa, sio hawa wanaokaa miaka minne nje halafu wiki mbili kabla ya uchaguzi wananunua mitumba Manzese na kudai tayari wanajua shida za wananchi"
Wadau yapi maoni yako.
Ongeza na CCM pia kwenye hio orodhaPolisi, Msajili, NEC, TISS, wote wanahangaika na mtu mmoja(LISSU), halafu huyu anaongea ujinga gani sijui!
Labda ndio sababu alienda kutafuta 'Toba' kwa Mungu kupitia mtumishi wake Cardinal Pengo.!Lissu anadai na kumtaja hadharani Huyu mkuu wa mkoa mstaafu kuwa ni moja kati ya vijana waliotumwa kufanikisha shambulizi la Mauaji ya Lissu.
Lissu huwa ni mkweli siku zote, sijawahi kumuona akiwa mnafiki na Muongo.
Mungu anashughulika na watesi wote wa Lissu.
Amenena ukweli kabisa ila mimi naongeza kuwa upinzani wa kweli labda utapatikana baada ya miaka 50 ijayo!Leo alipokuwa anatoka kanisani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alifanya mahojiano na channel ya mtandaoni inayoitwa Sauti za watu maarufu na kuulizwa anaona "Je ni kweli Lissu anaweza kuwa rais 2020?"
Makonda: Hawa wanarukaruka tu, CHADEMA bado sana kuchukua nchi, rais wa kwanza kama yupo basi atakuwa darasa la tatu au la nne anajiandaa na mtihani wa taifa, sio hawa wanaokaa miaka minne nje halafu wiki mbili kabla ya uchaguzi wananunua mitumba Manzese na kudai tayari wanajua shida za wananchi"
Wadau yapi maoni yako.
Unamdharau mtu mwenye uwezo wa kuingiza container 20 bila kulipa Kodi? Kwani wenye hela wameajiriwa serikalini?Ulishanyolewa sasa tulia vyeti huna na hakuna kazi ya kufanya na siasa imekushinda
Kama HAKUNA wa kumshtaki Basi Hana hatia Kama lema mwizi wa magari Arusha HAKUNA aliyemshtaki.Makonda hana tofauti na jambazi sugu, kungekuwa na rule of law, muda huu Makonda alipaswa awe ananyea debe Segerea au Keko kwa kuwanyima watz haki yao ya kuishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana kabisa IQ,yeye pamoja na wana mbogamboga wengi hawana IQ kabisa.Huyu jamaa si ndio Mtanzania mwenye IQ ndogo zaidi
Mbowe na genge lake wana IQ gani?. Labda ya kula vitu maalum, ruzuku na michango ya wabunge pamoja na kunywa faru John.Hana kabisa IQ,yeye pamoja na wana mbogamboga wengi hawana IQ kabisa.
Wiki mbili kabla ya uchaguzi wananunua nyanya Kariakoo afu eti wanajua matatizo ya watanzania!!!!Polisi, Msajili, NEC, TISS, wote wanahangaika na mtu mmoja(LISSU), halafu huyu anaongea ujinga gani sijui!