Uchaguzi 2020 Makonda: Rais wa kwanza CHADEMA bado yuko shule ya msingi, hawa wa sasa wanarukaruka

Lissu anawachosha akili ccm.
Novemba Lissu anapokea nchi
 
Hiyo miaka 4 huko nje alikaa tu kwa kupenda? Si alikwenda baada ya yeye kuongoza GENGE la wasiojulikana na kumchapa zile mvua za risasi mchana kweupe, mwambie bashite asijaribu kutonesha vidonda. HATUJASAHAU
 
Labda ndio sababu alienda kutafuta 'Toba' kwa Mungu kupitia mtumishi wake Cardinal Pengo.!

Maana si Jambo la kawaida mtu prominent wa dhehebu tofauti kumpigia magoti mtumishi (Askofu) wa dhehebu lingine.
 
Kwanza yeye mwenyewe tu angejihoji kwanza anahojiwa na chombo gan? Tayari angejipatia jibu kuwa hana jipya lolote.
 
Huyuhuyu Albert Bashite Pimbi wa kutupa, mungu wa Dar nae anaenda kanisani .
 
Ni aibu kumhoji aliyepuuzwa na wajumbe wa chama chake maana hata wao walijua fika Bashite hawezi fanya lolote la maana kwa wanakigamboni
 
Amenena ukweli kabisa ila mimi naongeza kuwa upinzani wa kweli labda utapatikana baada ya miaka 50 ijayo!
 
Unakaa nje miaka 4 then wiki mbili kabla ya uchaguzi unarudi nchini kununua mitumba manzese..

Lissu tapeli wa siasa
 
Makonda yupo sahihi, huyu kibaraka wakala wa beberu Mbeligiji hawezi kuwa Rais. Mbowe kamwingiza chaka huyu jamaa, anamuulia chama huyu.
 
Hebu achana na hicho alichosema. Naomba urudie jina la hiyo idhaa ya kimataifa iliyomhoji, inaitwaje vileeeee? Hahahahaaaaa maisha yanaenda kasi sana, kutoka BBC Dira ya dunia mpaka Upupu Online, hahahahaaa binadamu tuache kiburi, Mungu hapendi.
 
Polisi, Msajili, NEC, TISS, wote wanahangaika na mtu mmoja(LISSU), halafu huyu anaongea ujinga gani sijui!
Wiki mbili kabla ya uchaguzi wananunua nyanya Kariakoo afu eti wanajua matatizo ya watanzania!!!!

Tutampigia Magufuli 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…