Pre GE2025 Makonda: Tangu nimepata uenezi sijawahi kuchukua hata sh 100 kwenye mshahara wangu, huwa natoa yote sadaka!

Pre GE2025 Makonda: Tangu nimepata uenezi sijawahi kuchukua hata sh 100 kwenye mshahara wangu, huwa natoa yote sadaka!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,



Makonda asema Tangu alipopata uenezi, mshahara wote ameweka mahabahuni kwa Mungu, na hata alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa Arusha hajawahi kula hata sh kumi, mshahara wote unaenda madhabahuni!

Makonda ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi katika matembezi ya kuliombea taifa leo siku ya uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2024

Wale wenzangu na mimi mwende mkapate ushauri kwa gwiji la uchumi Makonda, mishahara iwe inakutana na hata kutoigusa kabisa na huku mnaishi kama wafalme! :BearLaugh: :BearLaugh:
 
Wakuu,

Makonda asema Tangu alipopata uenezi, mshahara wote ameweka mahabahuni kwa Mungu, na hata alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa Arusha hajawahi kula hata sh kumi, mshahara wote unaenda madhabahuni!

Wale wenzangu na mimi mwende mkapate ushauri kwa gwiji la uchumi Makonda, mishahara iwe inakutana na hata kutoigusa kabisa na huku mnaishi kama wafalme! :BearLaugh: :BearLaugh:
🤔😃😃
 
Kama mshahara wote anatoa sadaka hiyo sawa! Lkn naomba kujua juu ya
1. Yeye na familiya yake wanakula nini?
2. Utajiri alionao anaupataje ( maana watumishi kama hao hawafanyi biashara)
3. Majumba, magari n.k anavinunua kwa pesa ipi? I'm
 
Amejikusanyia utajiri mkubwa kwa muda mfupi miaka 5 ya Magu,hana wasiwasi maana katika hali ya kawaida unawezaje kuishi maisha mazuri bila kipato chako halali?
 
Wakuu,

View attachment 3173025

Makonda asema Tangu alipopata uenezi, mshahara wote ameweka mahabahuni kwa Mungu, na hata alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa Arusha hajawahi kula hata sh kumi, mshahara wote unaenda madhabahuni!

Makonda ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi katika matembezi ya kuliombea taifa leo siku ya uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2024

Wale wenzangu na mimi mwende mkapate ushauri kwa gwiji la uchumi Makonda, mishahara iwe inakutana na hata kutoigusa kabisa na huku mnaishi kama wafalme! :BearLaugh: :BearLaugh:
Huyu Bado hajazisoma codes za Mama..
Mama hapendi hizi pomposity... Alishawaambia wasitunishe mabega.
Lakini akumbuke kwamba vyovyote Iwavyo hutakiwi kumzidi bosi wako Fame.

Sintasema tena.
 
Amejikusanyia utajiri mkubwa kwa muda mfupi miaka 5 ya Magu,hana wasiwasi maana katika hali ya kawaida unawezaje kuishi maisha mazuri bila kipato chako halali?
Sasa kama una billion hata 20 tu ukaweka nusu yake hati fungani mbali na biashara zako zingine unakosaje kuishi kifalme? We kila mwaka uwe na mgao wa 1.59 Billion toka BOT unaachaje kuishi kifalme bado una pharmacy kwenye majiji yote makubwa nchini. Unakosaje kuishi kifalme.

Hapo sijazungumzia biashara za watu kubwa ambako amejibanza na anashea ya faida kila mwaka.
 
Sasa kama una billion hata 20 tu ukaweka nusu yake hati fungani mbali na biashara zako zingine unakosaje kuishi kifalme? We kila mwaka uwe na mgao wa 1.59 Billion toka BOT unaachaje kuishi kifalme bado una pharmacy kwenye majiji yote makubwa nchini. Unakosaje kuishi kifalme.

Hapo sijazungumzia biashara za watu kubwa ambako amejibanza na anashea ya faida kila mwaka.
Aisee..
Ngoja tuone tu.
 
Kama mshahara wote anatoa sadaka hiyo sawa! Lkn naomba kujua juu ya
1. Yeye na familiya yake wanakula nini?
2. Utajiri alionao anaupataje ( maana watumishi kama hao hawafanyi biashara)
3. Majumba, magari n.k anavinunua kwa pesa ipi? I'm
Maswali ya msingi, serikali makini ingembana hapa vibaya mno ili aelezee yeye Huwa anatumiaga Nini.....
 
Huyu Bado hajazisoma codes za Mama..
Mama hapendi hizi pomposity... Alishawaambia wasitunishe mabega.
Lakini akumbuke kwamba vyovyote Iwavyo hutakiwi kumzidi bosi wako Fame.

Sintasema tena.
Achana nae mama anamtumia makonda akishamaliza kaziatakaa pembeni.
 
Ni either mambo mawili huenda hawa watu ni overpaid (tunawalipa zaidi ya uwezo wetu ukizingatia hii nchi ambayo milo mitatu kwa siku ni anasa kwa wengi) AU kuna mbinu za kujipatia pesa kupitia wadhifa amabazo zinatumika..., Either of the two is not healthy for the Country
 
Back
Top Bottom