Kodi tunazolipa haziwezi kuleta maendeleo mpk akatafute nje?"Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walitegemea tutawaletea Polisi na tutawapiga mabomu, nimwambie kaka yangu Freeman Mbowe awamu hii imebadilika, tutawapa kila kitu lakini kura hamtapata.
Wako bararani wanatembea, wanazurura wanaona raha na kwa kuwa wengine ni wagonjwa tumewapelekea magari ya wagonjwa Ambulance ili kutoa msaada itakapotokea dharura." - Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa Makuyuni Monduli Arusha
Ameongeza kuwa "Wakati wao wanaandamana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekea nchini Indonesia kwenye vikao vya Kimataifa kutafuta fedha za miradi ya maendeleo."
Source - CloudsTv
Kodi tunazolipa haziwezi kuleta maendeleo mpk akatafute nje?
Aibu sn..kodi mnazotoa zimenunulia mtambo wa kuongeza makalio hospitali ya Mloganzila.
..Na Bashite ni mmoja wa wafaidika wa mtambo huo.
We jamaa wewe 😂 😂..kodi mnazotoa zimenunulia mtambo wa kuongeza makalio hospitali ya Mloganzila.
..Na Bashite ni mmoja wa wafaidika wa mtambo huo.
The next is coming....Kuna watu ni wagonjwa.....
Rubbish!!"Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walitegemea tutawaletea Polisi na tutawapiga mabomu, nimwambie kaka yangu Freeman Mbowe awamu hii imebadilika, tutawapa kila kitu lakini kura hamtapata.
Wako bararani wanatembea, wanazurura wanaona raha na kwa kuwa wengine ni wagonjwa tumewapelekea magari ya wagonjwa Ambulance ili kutoa msaada itakapotokea dharura." - Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa Makuyuni Monduli Arusha
Ameongeza kuwa "Wakati wao wanaandamana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekea nchini Indonesia kwenye vikao vya Kimataifa kutafuta fedha za miradi ya maendeleo."
Source - CloudsTv
Kama Kuna chama kinamtesa Makonda na ccm basi ni cdm, hakuna popote huyo muhalifu Makonda ametaja vyama vingine bali ni cdm tu. Hata vile vyama 13 vilivyopinga maandamano ya cdm hakuna popote Makonda anavitaja! Ni kama vile umpore mtu mke wake kwakuwa una hela, muda wote unakuwa huna amani na kuweweseka maana unajua sio mkeo. Kweli mtu wenye matunda ndio hupigwa mawe."Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walitegemea tutawaletea Polisi na tutawapiga mabomu, nimwambie kaka yangu Freeman Mbowe awamu hii imebadilika, tutawapa kila kitu lakini kura hamtapata.
Wako bararani wanatembea, wanazurura wanaona raha na kwa kuwa wengine ni wagonjwa tumewapelekea magari ya wagonjwa Ambulance ili kutoa msaada itakapotokea dharura." - Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa Makuyuni Monduli Arusha
Ameongeza kuwa "Wakati wao wanaandamana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekea nchini Indonesia kwenye vikao vya Kimataifa kutafuta fedha za miradi ya maendeleo."
Source - CloudsTv
Mpaka KOTAMA ATATUPA?"Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walitegemea tutawaletea Polisi na tutawapiga mabomu, nimwambie kaka yangu Freeman Mbowe awamu hii imebadilika, tutawapa kila kitu lakini kura hamtapata.
Wako bararani wanatembea, wanazurura wanaona raha na kwa kuwa wengine ni wagonjwa tumewapelekea magari ya wagonjwa Ambulance ili kutoa msaada itakapotokea dharura." - Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa Makuyuni Monduli Arusha
Ameongeza kuwa "Wakati wao wanaandamana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekea nchini Indonesia kwenye vikao vya Kimataifa kutafuta fedha za miradi ya maendeleo."
Source - CloudsTv
HazitoshiKodi tunazolipa haziwezi kuleta maendeleo mpk akatafute nje?
"Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walitegemea tutawaletea Polisi na tutawapiga mabomu, nimwambie kaka yangu Freeman Mbowe awamu hii imebadilika, tutawapa kila kitu lakini kura hamtapata.