CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
AnatoaMpaka KOTAMA ATATUPA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AnatoaMpaka KOTAMA ATATUPA?
Nchimbi kishasema viongozi wa ccm muache kutukana na kudhalilisha watendaji wa serikali. Makonda bado anadhalilisha na kutukana.
"Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walitegemea tutawaletea Polisi na tutawapiga mabomu, nimwambie kaka yangu Freeman Mbowe awamu hii imebadilika, tutawapa kila kitu lakini kura hamtapata.
Wako bararani wanatembea, wanazurura wanaona raha na kwa kuwa wengine ni wagonjwa tumewapelekea magari ya wagonjwa Ambulance ili kutoa msaada itakapotokea dharura." - Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa Makuyuni Monduli Arusha
Ameongeza kuwa "Wakati wao wanaandamana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekea nchini Indonesia kwenye vikao vya Kimataifa kutafuta fedha za miradi ya maendeleo."
Source - CloudsTv
Wahalifu wengi huwa wanasumbuliwa sana na magonjwa ya afya ya akili. Kisaikolojia huwa wana athirika sana na hisia kuhusu wale waliowahi kuwadhulumu mali ama uhai wao."Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walitegemea tutawaletea Polisi na tutawapiga mabomu, nimwambie kaka yangu Freeman Mbowe awamu hii imebadilika, tutawapa kila kitu lakini kura hamtapata.
Wako bararani wanatembea, wanazurura wanaona raha na kwa kuwa wengine ni wagonjwa tumewapelekea magari ya wagonjwa Ambulance ili kutoa msaada itakapotokea dharura." - Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa Makuyuni Monduli Arusha
Ameongeza kuwa "Wakati wao wanaandamana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekea nchini Indonesia kwenye vikao vya Kimataifa kutafuta fedha za miradi ya maendeleo."
Source - CloudsTv
Siyo hazitoshi ni yale matumizi makubwa ya anasa ndiyo yanatutesa snHazitoshi
Huyu bwege Zerobrain bado kidogo tu atatamka mwenyewe jinsi alivyomteka Ben Sanane na walikotupa maiti yake. Bado kidogo atatuambia namna walivyopanga kumshambulia Tundu Lissu na kila kilichotokea Dodoma pale Area D. Kari anavyopenda kushika microphone na kuongea ndivyo anavyoishiwa hoja. Na kwa vile HANA AKILI BASI tukae mwendo wa kupokea siri za uovu wote waliofanya na Magufuli."Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walitegemea tutawaletea Polisi na tutawapiga mabomu, nimwambie kaka yangu Freeman Mbowe awamu hii imebadilika, tutawapa kila kitu lakini kura hamtapata.
Wako bararani wanatembea, wanazurura wanaona raha na kwa kuwa wengine ni wagonjwa tumewapelekea magari ya wagonjwa Ambulance ili kutoa msaada itakapotokea dharura." - Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa Makuyuni Monduli Arusha
Ameongeza kuwa "Wakati wao wanaandamana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekea nchini Indonesia kwenye vikao vya Kimataifa kutafuta fedha za miradi ya maendeleo."
Source - CloudsTv
"Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walitegemea tutawaletea Polisi na tutawapiga mabomu, nimwambie kaka yangu Freeman Mbowe awamu hii imebadilika, tutawapa kila kitu lakini kura hamtapata.
Wako bararani wanatembea, wanazurura wanaona raha na kwa kuwa wengine ni wagonjwa tumewapelekea magari ya wagonjwa Ambulance ili kutoa msaada itakapotokea dharura." - Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa Makuyuni Monduli Arusha
Ameongeza kuwa "Wakati wao wanaandamana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekea nchini Indonesia kwenye vikao vya Kimataifa kutafuta fedha za miradi ya maendeleo."
Source - CloudsTv
Iko vile !.... kasoro kura. Hii kauli ni fupi lakini imebeba ujumbe mzito ndani yake, kwamba wao ndio wenye maamuzi nani ashinde kwa kura ngapi, na yupi afuatie kwa kura ngapi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Makonda amsikilize Nchimbi ??!Nchimbi kishasema viongozi wa ccm muache kutukana na kudhalilisha watendaji wa serikali. Makonda bado anadhalilisha na kutukana.
Naomba kujua elimu yako ili nikushauri kitu!Makonda amsikilize Nchimbi ??!
Never on Earth !!
Huyo jamaa anajiamini sana !
Hao watendaji unaowasema wajiandae kisaikolojia !!
Kupewa hiyo nafasi nadhani ni makusudi ili kukomoa baadhi ya watu wanaoonekana kwenda tofauti na Maza !n ahisi hii nafasi CCM wangempa mtu mwenye hekima, akili na utashi.
Kumpa mtu kama huyu nafasi kama hii hasa ukizingatia historia ya matendo yake OVU ni jambo la karaha sana!
Hata anayofanya huko Mikoani sio uhalisia hata kdg bali ni usanii.
Darasa la nane Shule za kipindi cha Nyerere !Naomba kujua elimu yako ili nikushauri kitu!