Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa vijana kuachana na siasa kwakuwa siasa hailipi badala yake wafikirie kuhusu kutengeneza pesa, maana pesa ndio inalipa na ukiikosa hata kwenye uchaguzi huchaguliwi!
Pale ambako mwanasiasa anakwambia siasa hailipi! Kama hailipi mbona haachi?
"Vijana wengi wanawaza siasa, achana na siasa, siasa hailipi, pesa ndiyo inalipa. Point yangu ni kwamba lazima tuwe na mikakati ya kufikiri namna ya kujenga uchumi badala ya kujadili siasa inayojadili majina ya watu na mtu.
"Ukiwa hauna pesa huna pointi. Ukiwa hauna pes ahata kwenye uchaguzi huchaguliwi kama unabisha niulize mimi! Nilikuwa na uwezo lakini sikuwa na pesa wakati nagombea Umoja wa Vijana nikaachwa.
"Kwahiyo niwaombe tuachaneni na siasa Najua maneno haya kuna wengine watayatumia kutengeneza hoja zingine lakini potelea mbali, tuachane na siasa, narudia tena siasa haina mpango!"
Pale ambako mwanasiasa anakwambia siasa hailipi! Kama hailipi mbona haachi?
"Vijana wengi wanawaza siasa, achana na siasa, siasa hailipi, pesa ndiyo inalipa. Point yangu ni kwamba lazima tuwe na mikakati ya kufikiri namna ya kujenga uchumi badala ya kujadili siasa inayojadili majina ya watu na mtu.
"Ukiwa hauna pesa huna pointi. Ukiwa hauna pes ahata kwenye uchaguzi huchaguliwi kama unabisha niulize mimi! Nilikuwa na uwezo lakini sikuwa na pesa wakati nagombea Umoja wa Vijana nikaachwa.
"Kwahiyo niwaombe tuachaneni na siasa Najua maneno haya kuna wengine watayatumia kutengeneza hoja zingine lakini potelea mbali, tuachane na siasa, narudia tena siasa haina mpango!"