Pre GE2025 Makonda: Vijana achaneni na siasa, hailipi. Pesa ndiyo inalipa

Pre GE2025 Makonda: Vijana achaneni na siasa, hailipi. Pesa ndiyo inalipa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa vijana kuachana na siasa kwakuwa siasa hailipi badala yake wafikirie kuhusu kutengeneza pesa, maana pesa ndio inalipa na ukiikosa hata kwenye uchaguzi huchaguliwi!

Pale ambako mwanasiasa anakwambia siasa hailipi! Kama hailipi mbona haachi?


"Vijana wengi wanawaza siasa, achana na siasa, siasa hailipi, pesa ndiyo inalipa. Point yangu ni kwamba lazima tuwe na mikakati ya kufikiri namna ya kujenga uchumi badala ya kujadili siasa inayojadili majina ya watu na mtu.

"Ukiwa hauna pesa huna pointi. Ukiwa hauna pes ahata kwenye uchaguzi huchaguliwi kama unabisha niulize mimi! Nilikuwa na uwezo lakini sikuwa na pesa wakati nagombea Umoja wa Vijana nikaachwa.

"Kwahiyo niwaombe tuachaneni na siasa Najua maneno haya kuna wengine watayatumia kutengeneza hoja zingine lakini potelea mbali, tuachane na siasa, narudia tena siasa haina mpango!"
Unahitaji pesa kupata pesa, siasa ni chanzo, kizuri cha pesa, kulipwa 250K kila siku,11M kila mwezi, 250M kwa, Miaka 5,mbunge.huyu kenge anasema siasa sio nzuri?!
Kuingia kwenye siasa unahitaji pesa au connection, Ila ukiingia, unapata pesa, nyingi, ubunge, udiwani, uwaziri, kuna pesa nyingi Sana chafu na safi,watu wanaacha ukurugenzi na kwenda kwenye ubunge, Huyu kenge, ni, siasa ndio ilimpa pesa,
 
Hv watu wanampendea nn huyu jamaa... Tanzania ni nchi ya ajabu sana.
Kwa sababu anawaumbua wenzake walio wabadhirifu na wezi. 🙄

Tofauti na wengine ambao huwa wanawalinda wenzao 🙄👁

Kwahiyo usione watu wanampenda Makonda ukadhani ni wajinga 🙄
Yeye hana tabia ya kulindana lindana eti tu ni kwa sababu wa kutoka kwenye Chama chake 🙄👁

Hicho ndicho kikubwa kinachomfanya Makonda apendwe na watu wengi lakini pia kinamfanya achukiwe na wenzie humo Chamani kwao !

Na akiacha hiyo tabia na mvuto wake utakuwa umepotea hapo hapo 🙄

Watu wengi wanatafuta ladha tofauti katika siasa, watu wamechoka na ile ladha ya maneno ya kulindana lindana na kusifiana sifiana mikutanoni 🙄👁

Makonda ameshazisoma alama za nyakati ndio maana yuko vile 🙄👁
Mafisadi kazi wanayo 🙄😳👁
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa vijana kuachana na siasa kwakuwa siasa hailipi badala yake wafikirie kuhusu kutengeneza pesa, maana pesa ndio inalipa na ukiikosa hata kwenye uchaguzi huchaguliwi!

Pale ambako mwanasiasa anakwambia siasa hailipi! Kama hailipi mbona haachi?


"Vijana wengi wanawaza siasa, achana na siasa, siasa hailipi, pesa ndiyo inalipa. Point yangu ni kwamba lazima tuwe na mikakati ya kufikiri namna ya kujenga uchumi badala ya kujadili siasa inayojadili majina ya watu na mtu.

"Ukiwa hauna pesa huna pointi. Ukiwa hauna pes ahata kwenye uchaguzi huchaguliwi kama unabisha niulize mimi! Nilikuwa na uwezo lakini sikuwa na pesa wakati nagombea Umoja wa Vijana nikaachwa.

"Kwahiyo niwaombe tuachaneni na siasa Najua maneno haya kuna wengine watayatumia kutengeneza hoja zingine lakini potelea mbali, tuachane na siasa, narudia tena siasa haina mpango!"
Huyu mpuuzi yeye mbona anafanya siasa?
 
Inabidi uwe na akili kubwa kumuelewa Makonda. Kwa ufupi unakuta kijana anaingia kwenye siasa ili aibe kwa sababu hana hela. Na unakuta kila kijana ndoto ni kuwa mwanasiasa ili aibe na siyo kutatua kero. Maisha ya sasa vijana wanajadili wanasiasa badala ya kujadili mikakati ya kukuza uchumi. Nchi zilizoendelea siasa anaingia mwenye hela maana sehemu kubwa ni kujitolea siyo kwenda ukiiba na wenzetu ukiiba kifungo kinakuhusu
 
Inabidi uwe na akili kubwa kumuelewa Makonda. Kwa ufupi unakuta kijana anaingia kwenye siasa ili aibe kwa sababu hana hela. Na unakuta kila kijana ndoto ni kuwa mwanasiasa ili aibe na siyo kutatua kero. Maisha ya sasa vijana wanajadili wanasiasa badala ya kujadili mikakati ya kukuza uchumi. Nchi zilizoendelea siasa anaingia mwenye hela maana sehemu kubwa ni kujitolea siyo kwenda ukiiba na wenzetu ukiiba kifungo kinakuhusu
Mwanasiasa anatatua vipi kero ya mwananchi?
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa vijana kuachana na siasa kwakuwa siasa hailipi badala yake wafikirie kuhusu kutengeneza pesa, maana pesa ndio inalipa na ukiikosa hata kwenye uchaguzi huchaguliwi!

Pale ambako mwanasiasa anakwambia siasa hailipi! Kama hailipi mbona haachi?


"Vijana wengi wanawaza siasa, achana na siasa, siasa hailipi, pesa ndiyo inalipa. Point yangu ni kwamba lazima tuwe na mikakati ya kufikiri namna ya kujenga uchumi badala ya kujadili siasa inayojadili majina ya watu na mtu.

"Ukiwa hauna pesa huna pointi. Ukiwa hauna pes ahata kwenye uchaguzi huchaguliwi kama unabisha niulize mimi! Nilikuwa na uwezo lakini sikuwa na pesa wakati nagombea Umoja wa Vijana nikaachwa.

"Kwahiyo niwaombe tuachaneni na siasa Najua maneno haya kuna wengine watayatumia kutengeneza hoja zingine lakini potelea mbali, tuachane na siasa, narudia tena siasa haina mpango!"
Makonda wewe ni mult bilioner kwa sababu ya siasa unawadanganya wenzako. Umetajirika na bado huachi siasa.
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa vijana kuachana na siasa kwakuwa siasa hailipi badala yake wafikirie kuhusu kutengeneza pesa, maana pesa ndio inalipa na ukiikosa hata kwenye uchaguzi huchaguliwi!

Pale ambako mwanasiasa anakwambia siasa hailipi! Kama hailipi mbona haachi?


"Vijana wengi wanawaza siasa, achana na siasa, siasa hailipi, pesa ndiyo inalipa. Point yangu ni kwamba lazima tuwe na mikakati ya kufikiri namna ya kujenga uchumi badala ya kujadili siasa inayojadili majina ya watu na mtu.

"Ukiwa hauna pesa huna pointi. Ukiwa hauna pes ahata kwenye uchaguzi huchaguliwi kama unabisha niulize mimi! Nilikuwa na uwezo lakini sikuwa na pesa wakati nagombea Umoja wa Vijana nikaachwa.

"Kwahiyo niwaombe tuachaneni na siasa Najua maneno haya kuna wengine watayatumia kutengeneza hoja zingine lakini potelea mbali, tuachane na siasa, narudia tena siasa haina mpango!"
Vijana wa Arusha mnaelewa maana ya kauli hii?
Tafsiri ni hii! TUACHIENI SISI wanasiasa (tena wa ccm) TUTAFUNE NCHI MSIHANGAIKE TENA. NYIE CHACHARIKENI KWENYE JUA TU NCHI TUNAIUZA YOTE msiisumbue serikali ya ccm1 Akili mkichwa wanaarusha
 
Back
Top Bottom