Pre GE2025 Makonda: Vijana achaneni na siasa, hailipi. Pesa ndiyo inalipa

Pre GE2025 Makonda: Vijana achaneni na siasa, hailipi. Pesa ndiyo inalipa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vijana wa Arusha mnaelewa maana ya kauli hii?
Tafsiri ni hii! TUACHIENI SISI wanasiasa (tena wa ccm) TUTAFUNE NCHI MSIHANGAIKE TENA. NYIE CHACHARIKENI KWENYE JUA TU NCHI TUNAIUZA YOTE msiisumbue serikali ya ccm1 Akili mkichwa wanaarusha
💩
 
Kwa sababu anawaumbua wenzake walio wabadhirifu na wezi. 🙄

Tofauti na wengine ambao huwa wanawalinda wenzao 🙄👁

Kwahiyo usione watu wanampenda Makonda ukadhani ni wajinga 🙄
Yeye hana tabia ya kulindana lindana eti tu ni kwa sababu wa kutoka kwenye Chama chake 🙄👁

Hicho ndicho kikubwa kinachomfanya Makonda apendwe na watu wengi lakini pia kinamfanya achukiwe na wenzie humo Chamani kwao !

Na akiacha hiyo tabia na mvuto wake utakuwa umepotea hapo hapo 🙄

Watu wengi wanatafuta ladha tofauti katika siasa, watu wamechoka na ile ladha ya maneno ya kulindana lindana na kusifiana sifiana mikutanoni 🙄👁

Makonda ameshazisoma alama za nyakati ndio maana yuko vile 🙄👁
Mafisadi kazi wanayo 🙄😳👁
Sawa
 
Back
Top Bottom