bodi za Quality Geregy na Guru Nanak mlango wa abiria ulikuwa seat ya tano kutoka mbele, sasa zimekuja hizi michina milango iko mbele kama howo, sijui latra na tbs hawalioni hili kuwa ni tatizo? matrafiki wanapokagua abiria na wana kuta staff seat ina abiria wala hawahoji, nchi hii sijui tumeshindwa kujitawala? bora tumrudishe tu sultan za zanziber.
malalamiko yamekuwepo muda mrefu kuwa gari za mchina zina shida kwenye break system wala hatujali.
malalamiko yamekuwepo muda mrefu kuwa gari za mchina zina shida kwenye break system wala hatujali.