Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akiliItasaidia wewe kuacha matumizi ya vile vitu vinavyo kuathiri kichwani.
Ushabiki bila kutumia akili ni ujinga,huko unakompaisha Comred Makonda siko,Makonda ni mwanamikakati,elewa neno mwanamikakati,kumpa cheo hicho ni kufanya baadhi ya mambo yasiendeNaingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!
mbona kunakipindi alikuwa nayo shingoniWalokole hawasali Rozari.
Nchi ina mashoga sana hiyoSijui mnalipwa kiasi na huyo jamaa!
Unajuwa alikuwa wapi wakati ikisemekana kalishwa simu?Naona mnatumia nguvu Sana kumpigia debe huyu mtu, mnajisumbua bure.
Huyu mtu hana kabisa sifa za kuweza kuwa katika nyadhifa mnazopendekeza.
Kadiri mnavyozidi kumpigia debe ndivyo kadiri mnavyozidi kumchafua na kumharibia.
Ukisikia mtu ana utapiamlo wa akili ndio huu! Ungekaa kimya ingekusaidia kuficha upumbavu!Mkuu Makonda hajasaidiwa na chawa kuwa Waziri Mkuu. Amefanikiwa kupata cheo hicho kwa nguvu ya maombi.
Huu ujinga ndio mnaolishana JF?Your wishes! Akitoka nje amedakwa na CIA kwa kudhulumu uhai wa binadamu!
Kwamba wasukuma wapo vizuri kuliko Wamasai?Makonda ni msukuma na unawajua wasukuma ni wazuri kwenye habari ya kujilinda kibinafsi. Hatishwi na mtu yeyote.
Hivi huyo uliyemtaja anajua hata lugha za Kimataifa ukiacha Kiswahili?Naingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!
Unajua kwamba makonda Bado ni most wanted huko ughaibuni??Naingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!