Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!
Ukatfute panadol umeze, unaumwa baba
Tumtegemee tu Imaam Hussein hamna namna kwasababu yake tumepewa Tawfiq/Tawfeek (The ability and opportunity to succeed) zakutosha na tuna uhakika wa Jannah na Firdaus.nchi bana. vijana machawa tu. hujui kasoma humjui aliekuwa hajasoma
Mungu wa Israel au wa Tzn?Mwaka 2020 Ndungulile alimfanyia figisu. Sasa hivi atapita bila kupingwa na nafasi yake ya uwaziri mkuu ipo palepale. Hakuna mtu wa kumzuia. Ameanza na Mungu, atamaliza na Mungu
Cc
ChoiceVariable MamaSamia2025
Mkuu tpaul unasema atakuwa Waziri mkuu, swali langu ni hili,Mwaka 2020 Ndungulile alimfanyia figisu. Sasa hivi atapita bila kupingwa na nafasi yake ya uwaziri mkuu ipo palepale. Hakuna mtu wa kumzuia. Ameanza na Mungu, atamaliza na Mungu
Cc
ChoiceVariable MamaSamia2025
Mkuu achana na huyo chawa Lucas Mwashambwa atakuumiza kichwa mkuu.Huna akili
Atakayemteua ni Rais MamaSamia2025 au Rais yeyote atakayechaguliwa 2025.Mkuu tpaul unasema atakuwa Waziri mkuu, swali langu ni hili,
Mwenye mamlaka ya kumteua waziri mkuu ni Rais mteule au nani?
Lazima ni mnyoosheMkuu achana na huyo chawa Lucas Mwashambwa atakuumiza kichwa mkuu.
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekwambia hivyo kwamba watamchagua Makonda atakuwa Waziri mkuu?Atakayemteua ni Rais MamaSamia2025 au Rais yeyote atakayechaguliwa 2025.
Samia ni nani hadi ampangie Makonda cheo? Makonda ameishafunga akimuomba Mungu ampe cheo cha uwaziri mkuu na Mungu ameishajibu maombi.Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekwambia hivyo kwamba watamchagua Makonda atakuwa Waziri mkuu?
Hata shetani anaitwa mungu wa dunia hii, sijui unakusudia Mungu yupi?Samia ni nani hadi ampangie Mak9nda cheo? Makonda ameishafunga akimuomba Mungu ampe cheo cha uwaziri mkuu na Mungu ameishajibu maombi.
Kwa taarifa yako, Makonda hamtegemei mwanadamu ampe mafanikio. Ameishaongea na Mungu kitambo sana. Anasubiri tu muda ufike acnukue cheo chake kipya. Umeelewa?
Unapoteza MudaNaingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!
Tutakwisha aisee hivi tu watu wanateseka aje kua Pm?tuendelee kuomba MUNGU afanye jambo🥺Naingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!
Naingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!