johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda amesema watu watakaokamatwa wakizurura jijini Dar watawajibishwa kwa kuzibua mifereji, kufyeka nyasi, kufagia barabara na kufanya kazi nyingine za usafi.
Makonda amesema hatawaweka mahabusu wazururaji kwa ajili ya kuepusha msongamano wakati huu wa Corona.
Hivyo RC amesisitiza kama mtu anatoka nyumbani kwake na kwenda mjini bila malengo ya msingi basi ajiandae kukutana na Rungu la Makonda.
Source Eatv habari!
Makonda amesema hatawaweka mahabusu wazururaji kwa ajili ya kuepusha msongamano wakati huu wa Corona.
Hivyo RC amesisitiza kama mtu anatoka nyumbani kwake na kwenda mjini bila malengo ya msingi basi ajiandae kukutana na Rungu la Makonda.
Source Eatv habari!