Ha ha ha, Mkuu unataka kuniambia CCM imebakiwa na madingi watupu??Watalenga Vijana kwa sababu wanajua Vijana wengi ni Chadema au ACT.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha, Mkuu unataka kuniambia CCM imebakiwa na madingi watupu??Watalenga Vijana kwa sababu wanajua Vijana wengi ni Chadema au ACT.
Kuwapima tezi dume wanaume wote wa dar.
Huoni hata Polepole ameenda kijana akazeeka kwa sababu ya majunguHa ha ha, Mkuu unataka kuniambia CCM imebakiwa na madingi watupu??
Kuna kipimo maalumu kinawaza mawazo yakoSasa watajuaje Kama mtu huyu ni mzuraraji na yule si mzururaji? Mwaka huu tutaona mengi[emoji28][emoji28][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi safari hii utakutana na rungu!
Kuwaambia watu wasizurure; watoke nyumbani kwenda kazini tu au kwenye shughuli inayoeleweka, ni jambo la kipuuzi? Kwa hiyo nchi zote zilizoanzisha lockdown zinafanya upuuzi tu? Ilichofanya Tanzania ni kutoanzisha lockdown kwa sababu ya msingi kwamba watu wengi wasipotoka nyumbani familia haitakula siku hiyo. Kuruhusiwa kutoka nyumbani isiwe ndiyo tikiti ya kuzurura. Nchi nyingine watu wanachapwa bakora kwa kuonekana mitaani badala ya kuwa nyumbani kwako.Tofauti ya mwamri wa tabora na bashite ni kwamba mwamri anafwatilia mambo ya msingi ili apate sifa ila bashite anafwatilia mambo ya kipuuzi ili apate sifa (za kijinga).
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi gani hiyo hebu tutajieKuwaambia watu wasizurure; watoke nyumbani kwenda kazini tu au kwenye shughuli inayoeleweka, ni jambo la kipuuzi? Kwa hiyo nchi zote zilizoanzisha lockdown zinafanya upuuzi tu? Ilichofanya Tanzania ni kutoanzisha lockdown kwa sababu ya msingi kwamba watu wengi wasipotoka nyumbani familia haitakula siku hiyo. Kuruhusiwa kutoka nyumbani isiwe ndiyo tikiti ya kuzurura. Nchi nyingine watu wanachapwa bakora kwa kuonekana mitaani badala ya kuwa nyumbani kwako.
Kukaa maskani ndio uzururaji wenyewe!
Maskani zingine mipango inapangwaKukaa maskani ndio uzururaji wenyewe!
Makonda akili zake anazijua mwenye sijui anatumika au anapenda tu mwenyewe kuwa headline kwenye media kila mara kwa sababu ya ujana wake kwa ufupi tuvumilie tu mdaa wake ukifika mwisho anaweza kuja mwingine na visa zaidi ya huyu kwa maono yangu jiji kubwa kama ili anatakiwa kiongozi mwenye umri kunzia miaka 40
Ha ha ha, Mkuu unataka kuniambia CCM imebakiwa na madingi watupu??
Kwahiyo hatawapeleka mahakamani? Au yeye pia ni hakimu na jaji?Mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda amesema watu watakaokamatwa wakizurura jijini Dar watawajibishwa kwa kuzibua mifereji, kufyeka nyasi, kufagia barabara na kufanya kazi nyingine za usafi.
Makonda amesema hatawaweka mahabusu wazururaji kwa ajili ya kuepusha msongamano wakati huu wa Corona.
Hivyo RC amesisitiza kama mtu anatoka nyumbani kwake na kwenda mjini bila malengo ya msingi basi ajiandae kukutana na Rungu la Makonda.
Source Eatv habari!