Makonda: Wazururaji hawataenda gerezani bali watafanya kazi za kuzibua mitaro, kufyeka nyasi na kusafisha barabara

Makonda: Wazururaji hawataenda gerezani bali watafanya kazi za kuzibua mitaro, kufyeka nyasi na kusafisha barabara

Tatizo sio hiyo amri bali tatizo ni wapokeaji na watekelezaji wa hiyo amri..
Viongozi wetu kuna mahala wanajisahau na kufikiri wanaowaongoza na watendaji wao ni raia wa Europe na USA kumbe ni watanzania wa buguruni, manzese, tandale, tandika nk..

Kuna wakati lazima watawala watambua wanaongoza jamii masikini ambayo haijastaarabika na pia lazima watambue aina ya watu waliowaajiri kwenye hayo majeshi na athari zitakazotokea kwenye kila amri watoayo...
 
Tatizo sio hiyo amri bali tatizo ni wapokeaji na watekelezaji wa hiyo amri..
Viongozi wetu kuna mahala wanajisahau na kufikiri wanaowaongoza na watendaji wao ni raia wa Europe na USA kumbe ni watanzania wa buguruni, manzese, tandale, tandika nk..

Kuna wakati lazima watawala watambua wanaongoza jamii masikini ambayo haijastaarabika na pia lazima watambue aina ya watu waliowaajiri kwenye hayo majeshi na athari zitakazotokea kwenye kila amri watoayo...
Nimekuelewa bwashee!
 
Uzuri makonda anajiamini sana kwenye mambo yote anayoyafanya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom