Makonda: Wazururaji hawataenda gerezani bali watafanya kazi za kuzibua mitaro, kufyeka nyasi na kusafisha barabara

Kuna wakati mtu unajikuta uanatamani kusema kitu lakini inakubidi tu unyamaze kwa sababu usalamu wako ni muhimu sana.
 
kwani mzurulaji ni yupi? ni zipi sifa a mzurulaji? nani anapaswa kuitwa mzurulaji na kwanini? utamtambuaje huyu mtu ni mzurulaji na huyu sio mzurulaji? vipi kama nimeenda kwa shughuli zangu kisha nikakumbana njiani na hao walioagizwa kukamata wazurulaji nami nitakamatwa kwa kua sina kielelezo chochote kinacho nitambulisha kwamba mimi so mzurulaji?
 
Tofauti ya mwamri wa tabora na bashite ni kwamba mwamri anafwatilia mambo ya msingi ili apate sifa ila bashite anafwatilia mambo ya kipuuzi ili apate sifa (za kijinga).

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwaambia watu wasizurure; watoke nyumbani kwenda kazini tu au kwenye shughuli inayoeleweka, ni jambo la kipuuzi? Kwa hiyo nchi zote zilizoanzisha lockdown zinafanya upuuzi tu? Ilichofanya Tanzania ni kutoanzisha lockdown kwa sababu ya msingi kwamba watu wengi wasipotoka nyumbani familia haitakula siku hiyo. Kuruhusiwa kutoka nyumbani isiwe ndiyo tikiti ya kuzurura. Nchi nyingine watu wanachapwa bakora kwa kuonekana mitaani badala ya kuwa nyumbani kwako.
 
Nchi gani hiyo hebu tutajie

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Huyo mtu mwenye miaka zaidi ya 40 mfano awe Kange Lugola, Kigwangalla nk.
 
Anafeli sana..Naona tatizo ni elimu yake
 
Kwahiyo hatawapeleka mahakamani? Au yeye pia ni hakimu na jaji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…